nikki wa pili

  1. T

    Pre GE2025 CCM Kibaha wampa tuzo Nikki wa Pili

    Kunazidi kuchangamka === Chama Cha Mapinduzi wilaya Ya Kibaha mkoani Pwani kimempa tuzo ya pongezi Mkuu wa wilaya ya Kibaha Mjini, Nickson John Simon Nikki wa pili kwa usimamizi bora wa utekelezaji wa ilani ya CCM wilayani humo. Wilaya hiyo chini ya uongozi wa DC Nickson Simon makusanyo ya...
  2. Mindyou

    Pre GE2025 Rais Samia: Nilipomteua Mwana FA na Nikki wa Pili sikueleweka lakini sasa wananisaidia sana

    Wakuu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepongeza utendaji wa Mbunge wa Jimbo la Muheza ambaye pia ni Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamisi Mwinjuma (Mwana FA), na Mkuu wa Wilaya ya Kibaha, Nickson John Simon (Nikk wa Pili), akieleza kuwa...
  3. Cute Wife

    LGE2024 Pwani: DC Nikki wa Pili na RC Kunnenge wapanga foleni kupiga kura Uchaguzi Serikali za Mitaa

    Wakuu, Drama zinaendelea mpaka siku ya uchaguzi! Pia soma: LIVE - LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 Mkuu wa Wilaya ya Kibaha na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Kunnenge wakiwa kwenye foleni ya kwenda kupiga...
  4. JanguKamaJangu

    Madaraka ya Kulevya (Lyrics) - Weusi

    Madaraka ya Kulevya Lyrics Madaraaaa Madaraka x2 Umenipa madaraka ya kulevya Ooh baby Nayumba nateleza Umenipa madaraka ya kulevya Oo darling Naimba napoteza x2 Nikki wa Pili Mjini nimedondoka kama chopa, chopa star... Wananiita zee la makopa Zee la kulia mtoto hawezi toka Watoto wanang'oka...
  5. Damaso

    SoC04 Tanzania we Want: Young Blood is Needed in Public Service

    Hip hop artist Nickson Simon John, popularly known as Nikki wa Pili, has been sworn in as the new district commissioner for Kisarawe in Tanzania’s Coastal Region. Weusi member and Nikki wa Pili's older brother, Joh Makini, said: "This nomination does not surprise us because he has already...
  6. Internet-Money

    Nikki wa Pili alishawahi kumdhihaki MUNGU kisa Mwanamke

    Malipo ni hapa hapa. Ulimbukeni wa kupata mwanamke mzuri, ulimfanya Nikki wa Pilli kusema, "Mwanadamu wa kwanza kuumbwa alikuwa ni mwanamke, na sio mwanaume kama Biblia inavyosema" - hio ilikuwa ni 2019. Watu wengi walijaribu kumkanya afute kauli yake -akiwemo Bill Nas na Pastor Mmoja hivi...
  7. Verified

    Nje ya box: Verse 1 (Nikki wa Pili)

    Mungu nijalie demu mpenda pesa Kila siku nipigane kuwa Bakhresa asinipende mimi apende Verosa Wanaomegewa wengi ndio kitu wamekosa Malighafi ya suruali si boxer Siri nyingi mahali dingi alikosa Demu wa shida na raha na misoto sana, Huyo demu hanifai changamoto hana, ikiwa demu wako anapenda...
  8. data

    Nikki wa Pili ameingia cha kike huko aisee!! Wanyama wamecharukaa!

    Ni vita! Matusi yanaporomoshwa hukoo
  9. Pure_sapiens

    Nikki Mbishi was underrated kumlinganisha na Nikki wa Pili

    Habari za weekend. Awali ya yote natambua uwezo mkubwa wa baadhi ya members wa jf linapokuja suala zima la music hasa muziki wa kufoka foka(hiphop).Nimekuwa nafuatilia kwa muda sasa katika hili jukwaa la burudani kwaa namna gani wadau wanavyochambua wasanii wa hiphop kuanzia wa hapa nyumbani...
  10. Countrywide

    Hawa wanafaa kuandaliwa kwa ajili ya Urais 2040, siyo dhambi tuwajenge tufaidike

    Moja ya sababu kubwa ya nchi nyingi kutoendelea ni kutoandaa viongozi kwa ajili ya vizazi vijavyo na vijavyo. Leo Mimi countrywide msomi ninatoa maoni yangu kuhusu kuandaa watu Hawa kwa ajili ya uraisi 2040. Ningeweza kusema 2030 lakini naona ni karibu sana kiasi ambacho itakua sio Tena...
  11. Hamayser hamisi

    Usikose kuwafuatilia watu hawa wanne watakaokutengenezea maarifa

    Habari, tumaini langu mko powa, leo ningependa kushare na nyie watu wanne Kama ujawafollow basi nakushauli uwafollow na Kama umewafollow basi utaungana na me hiki nisemacho. 1). @Joelnanauka, ebana eeh huyu mtu mtu nakushauri mfollow ana mambo mengi sana ya kujifunza kwake kwenye huu ulimwengu...
  12. Mpinzire

    Mkuu wa Wilaya Kisarawe, Mradi wa Maji Kisarawe tunapigwa

    Nimeshangazwa na post ya Mkuu wa Wilaya leo huko Instagram akijigamba kuwa wana mradi wa maji Kisarawe wenye thamani ya Billion 2 ambapo zaidi ya Billion 1 na Milion 700 tayari zishalipwa kwa mkandarasi na mkandarasi yuko site, ajabu anakuja kuambqtanisha clip ikionyesha mkandarasi akifanya hiyo...
  13. Countrywide

    Kisarawe, Pwani: DC Nikki wa Pili atoa hatimiliki za kimila kwa Ranchi 24

    Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Mh. Nikki wa Pili jana amefanya jambo kubwa sana la kutoa hati miliki za kimila kwa ranchi 24 kwa wafugaji katika kijiji cha mafizi kwa ajili ya malisho ya mifugo 17920. Lengo ni kuondoa migogoro ya ardhi, kuboresha huduma za mifugo, uvunaji wa bidhaa zitokanazo na...
  14. Countrywide

    Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Nikki wa Pili aanza kutekeleza majukumu

    Katika kuendeleza slogan ya mama yetu mpendwa mama Samia ya kazi iendelee. Mkuu wa wilaya ya kisarawe Mh.Nikki wa Pili ameanza kazi kwa kishindo kikubwa. Ametembelea miradi ya afya, ujezi, mazingira, maji na uwezeshaji wa vijana akiwa na siku moja tu kazini. Ni jambo kubwa sana Hili ni Jambo la...
  15. Countrywide

    Rais Samia ahsante sana, Nikki wa Pili ni uteuzi bora kabisa

    Nani kama mama? Ukikutana na watu 10, basi 7 Kati yao watakuambia wanampenda sana mama kuliko baba. Mama Samia kweli amedhmairia kuifikisha Tanzania kwenye nchi ya asali na maziwa, niseme wazi kuwa mimi sijawahi kuamini kiongozi Bora anaweza kutoka nje ya mfumo wa CCM. Ujio wa mama Samia ni...
  16. MSAGA SUMU

    Mchumba wake Nikki wa Pili huenda akawa CAG mpya. Tayari ametuma maombi

  17. LIKUD

    Nikki wa Pili jifunze jambo hili kwa Wakazi

    First of all najua wewe ni member wa Jf Kwa sababu Ur a graduate and "Every Tanzanian Graduate is presumed to be a member of Jamii Forums until proven otherwise" Back to my topic. Nikki wa Pili wewe umekuwa ukijinasibu kama msanii mwana hip hop msomi but kwenye interviews zako simuoni msanii...
  18. The Wolf

    Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

    Ushauri kwa nikki unakuwa fala chalii, fla kweli kweli
Back
Top Bottom