nimemtongoza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Nimemtongoza juzi Jumamosi, leo kaanza kuniomba pesa

    Wakuu Labda mnisaidie mawazo ili nijue nakimbia au naweka kambi. Huyu binti ni single maza tumekutana juzi kwenye usafiri wa umma nikamtongoza akakubali. Leo asubuhi naamka nakutana na message ya kuombwa 50k. Ikumbukwe hapa bado sijamtia wala sijamgusishia lolote kuhusu kutiana ila kaanza...
  2. Nimemtongoza mpangaji mwenzangu kanikataa halafu ananipigia taarabu

    Toka jana anapiga taarabu za vijembe na kujisifu wanavyopendana ka bwana kake na mimi nikaona isiwe kesi, nikadownload ngoma moja ya jamaa wa Kenya anaitwa alvindo nimbo inaitwa Taka Taka. Inasema... Unakataa kuwa demu yangu naenda kwa mrogi nakuroga unakufa... Na nakuja kwa mazishi yako...
  3. K

    Nimemtongoza lakini Kasi yake imenitisha

    Yes nilikua natokea Kilosa Morogoro kwa ishu zangu nikawa nimechelewa bus za moja kwa moja kutoka Kilosa mpaka Dar, ikanibid nibande gari mpaka Dumila ili nivizie gari zinazotoka barabara ya Dodoma. Kweli nikapata bus imetoka Dodoma inaenda Dar nikapata siti za nyuma kabisa na gari ilikua...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…