Yani kwa sasa mtu akisema anaenda kwenye nyumba ya ibada namuona kama “old school” mtu anaeishi maisha ya kusadikika,
Bado naamini kuna Mungu ila Mungu huyo hahitaji ibada wala hana habari na sisi, hakuna moto wala pepo.
Dini zote naona ni kama vikundi vinavyojinasibisha tu lakini hakuna...