nimuoe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. King 999

    Kanizidi umri lakini ana sifa hizi. Je, nijilipue nimuoe?

    Habari zenu, Niko kwenye mahusiano na mwanamke ambaye kwa sasa ana miaka 30 kanzidi mwaka mmoja. mahusiano yana zaid ya miaka 6. (haya mahusiano hayakua straight mana kuna muda nlikua nahama mkoa hata miaka mi2, tena narudi tunaendeleza mahusiano). Kimuonekano mm sio handsome. Nina sura ya...
  2. N

    Msaada: Nimuoe huyu binti au nisikilize ushauri wa Wazazi wangu?

    Habari zenu Wana JamiiForums?. Mimi nimekuwa kwenye mahusiano na dada mmoja Kwa miezi kumi sasa. Dada huyo ni mama WA MTOTO mmoja WA miaka mitano, jamaa aliyezaa naye walisha achana siku nyingi, na Kwa SASA ana familia yake, ila wanalea tu mtoto. Sasa Kwa BAHATI MBAYA au NZURI huyo dada ana...
  3. Prakatatumba abaabaabaa

    Mshangazi wa 1997 ananisumbua anataka nimuoe

    Kweli biblia haiwezi kudanganya hata kidogo, lile andiko la wanawake 10 watamzingira mwanaume mmoja na kumwambia tuoe utufichie aibu zetu kama linatimia hivi. Kuna mshangazi mmoja naona ameona jioooni imeanza kuingia, basi anachofanya ni kulazimisha tu ndoa, just imagine ni rafiki yangu sio...
  4. Mr Why

    Mpenzi wangu sild hataki kunipa mpaka nimuoe kwa ndoa!

    Wakulungwa nimedate na binti mmoja ambaye ni bikra kwa miezi mitatu na nimempenda sana niko tayari kumuoa hata leo ila tangu nimedate nae hataki kunifungulia mlango nipite kwasababu anadai siku atanifungulia mlango ni baada ya ndoa yetu na anataka ndoa ifanyike 2025 Nimekaa chini nimefikiria...
  5. L

    Kuna Mdada aged around 25, usiku huu simjui hanijui, kaning'aninia nimuoe

    Wadada, msijirahisishe hivyo Kuna Mdada aged around 25, usiku huu simjui hanijui, kaning'aninia nimuoe ni mmarangu ana watoto wawili, Anataka nimuoe tu, Nimechukua namba zake Ila mpaka muda huu namfikiria, maana nimemwambia Nina mke anasema yupo tayari hivyo hivyo,nimekutana nae barabarani...
  6. L

    Ameniambia niende gym nitengeneze mwili ili nimuoe

    Kwema wakuu? Kuna binti ambaye ni mwaka mmoja sasa toka nianze kumfuatilia. Nampenda, kwanza nilitumia kiasi cha kama 1M hivi jumla kwa ajili ya kumpa kwa matumizi yake mbalimbali kama rafiki tu. Na kwawakati uo tulikua nimarafiki yaani best friends. Nilikuwa nalipa transport bills zake, kodi...
Back
Top Bottom