nioe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mung Chris

    Nahitaji mke wa pili nioe ndani ya miezi 5

    Nahitaji mke wa pilli wa kuoa ndani ya miezi 5 tu kuanzia sasa hivi mwezi wa 3, mimi mkristo. Nina miaka 51. Mwanamke asiwe mchaga, mrangi au mpare. Mwanamke awe hajawahi olewa awe na umri 49- 51. Awe na mtoto 1 tu au asiwe naye. Awe anaishi kwake maana mm nipo kwangu. Ndoa haita husisha mali...
  2. Magical power

    Nitawaelezaje ili nioe?

    NITAWAELEZAJE ILI NIOE? Habari za leo kaka magic power Kuna jambo linaninyima usingizi sana,Mimi ni kijana na baba wa miaka 31 ila sijaoa ni mwajiriwa serikalini na mjasiriamali nina mabinti wawili mama tofauti ambao nilizaa nao mda wa kwanza ana miaka 08 yuko darasa la tatu na wa pili yupo...
  3. F

    Babu nioe au nizae tu?

    Kijana mmoja ana udugu nami japo kwa mbali, kaniuliza hilo swali, eti aoe mke au atafute mwaname wa kuzaa nae? Nimemjibu anipe wiki ndio ntamjibu, wadau mmeona hilo swali?
  4. Equation x

    Bora nioe mama wa nyumbani, atanisikiliza

    Dunia imeingiwa na changamoto mbali mbali, tamaa imetawala kwenye mahusiano; mdada anaingia kwenye mahusiano kwa maslai fulani. Bora hawa wamama wa nyumbani hawana shida sana, ila hawa wengine niumiza kichwa. Nikifikiria hizi nyuzi za wanawake 400; naishiwa nguvu kabisa. Bora nioe mama wa...
  5. Metronidazole 400mg

    Nimeamua rasmi nianze ku Date mishangazi TU na ikiwezekana nioe kabisa mmoja

    INSPIRED BY THIS PHOTO Nikiangalia huyo kijana ( IBWE ) ni Kama Mimi tuu kuanzia muonekano, body,utanashati, umri na kila kitu hatujapishana Sana labda kazi TU Binafsi nimechoka kuwa na mahusiano na hivi videmu vya 2000 usumbufu mtupu!! na kupotezeana muda TU. Binafsi bila kusurutishwa na...
  6. Loading failed

    Nataka kuoa ila nina wanawake wengi mpaka sijui nioe yupi kwa kweli

    Ndugu zangu Nina wapenzi wakike wengi sana mpaka sijui nichague yupi awe mke wangu Wanawake wangu wanatokea makabila haya na wote nimenyandua baadhi yao wanajuana katika kufumaniwa hapa na pale ila wengine hawajuani kabisa *Muha-2 *Mhehe-2 *Mchaga wa kimachame -4 *Mchaga wa kirombo-2...
  7. Mwachiluwi

    Mume wa dada anataka nioe nikakae na mke nyumbani kwao Arusha na mke wangu

    Helloww Naomba ushauri mume wa dada kaniambia nioe nikioa nikakae na mkeo nyumban kwake uko arista kuhusu kula kila kitu atashughulikia yeye je nioe au nikatae
  8. Robert Heriel Mtibeli

    Kwanini ni lazima nioe Mwanamke wa Kaskazini?

    Habari za Leo. Kwangu ni lazima kuoa Mwanamke wa Kaskazini au jamii zinazokaribiana Mila, desturi, falsafa na mitizamo kama ya Wanawake WA Kaskazini. Kuoa Mwanamke wa Kaskazini kwangu Sio Optional, bali ni lazima. Hii itabaki kuwa hivyo ilivyo. Sio kila mtu atakayetaka kujua sababu ya Mimi...
  9. Yofav

    Kwanini nashauriwa nioe?

    Habari wana Jf, Hapa ninapoishi ni mimi pekee ambae sina mke na nilishawahi kuleta uzi hapa ➡️ Thread 'Ninapoishi ni mimi pekee ambae sijaoa' Ninapoishi ni mimi pekee ambae sijaoa Sasa imekuwa kawaida mwenye nyumba kunitania kila siku kwamba nioe (mwenye nyumba wangu ni mtani wangu kikabila)...
  10. Phobia

    Nataka nioe mwanamke wa Kisukuma, Wanyantuzu je wapoje?

    Naombeni mnipe experience kidogo kwa hawa wanawake wa kinyantuzu jamii ya wasukuma kwa sababu nimempata binti mmoja wa huku Simiyu wilaya ya Bariadi nimempata kabinti ama hakika anavutia na ni mweupeeee. Nipeni experience kidogo je wanawake wa Kinyantuzu wakoje? Kitabia na mengine kama hayo.
  11. and 300

    Wazazi hawataki nioe binti kutoka Mgeta - Morogoro

    Wakuu nimekuwa kwenye mahusiano na binti kutoka Mgeta - Morogoro. Sasa wazazi hawataki kusikia kabisa hii habari.
  12. L

    Nioe yupi kati hawa wadada wawili

    Kwema humu... naombeni ushauri nichague yupi kati ya hawa wadada wawili,,,wa kwanza nilikutana nae mwaka 2010 kipindi hicho bado nilikua mdogo but tulianzisha mazoea na yeye mpaka sasa bado tunawasiliana vizuri tu japo tupo mikoa tofauti,,wa pili nimeonana nae mwaka huu mwanzoni kanivutia sanaa...
  13. Bujibuji Simba Nyamaume

    Kabla sijafa, lazima nioe wake wengi

    Mimi ni Mkristo Safi, ila aliyesema kuoa wake wengi dhambi alikosea kwani hata Yakobo au Israel alikuwa na mke zaidi ya mmoja. Mambo ya kuoa kamke kamoja ni kujidhulumu nafsi. Natafuta pesa ya kiinua mgongo changu Mwenyewe maana si jaajiriwa na nikiiipata nitaoa Sana na kuzaa watoto wengi Sana...
  14. Gulio Tanzania

    Ushauri: Nioe yupi Kati ya hawa wanawake wawili?

    Habari za siku wadau Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu katika mapambano ya kutafuta mwenza wa maisha nimejikuta naangukia kwa wanawake wawili ambao wote naona ni bora wanavigezo vile nilivyokuwa nahitaji. Mimi siku zote nimekuwa navutiwa zaidi na mwanamke ambaye hana tamaa ya vitu...
  15. ommytk

    Ushauri: Nataka kutumia mchango wa harusi kujenga nyumba

    Wadau ebu naomba ushauri wenu nitarajia kuchukua jiko sasa michango imefika 42 millin na point kadhaa na watu bado wanatoa Imenijia wazo hizi hela nifanye jambo lingine nina kiwanja Bunju nikajenge nyumba fasta ya japo 35m nipate kustirika kikao cha mwisho sitokei natuma mjumbe mjomba...
  16. Robert Heriel Mtibeli

    Swali: Nioe au niolewe wapi?

    NIMEULIZWA: NIOE AU NIOLEWE WAPI? Kwa Mkono wa Robert Heriel Watu kadhaa wameniuliza swali hili Baada ya kusoma Makala yangu inayomhusu Kaka Mkubwa PFunk Majani. Wameniuliza; NIOE wapi? Kwa upande wa wanaume. Wanawake nao wakaniuliza; TUOLEWE wapi? Kwenye kuoa na kuolewa kuna maswali Makuu...
Back
Top Bottom