Habari za mida wakubwa zangu!
Naitwa Mzelela Ally, nina miaka 25 ni dereva na nimesomea VETA pamoja na N.I.T. course ya Public Service Vehicle na nina lesen Class A, B, D, C1, E pia nina uzoefu wa miaka mitano hadi sasa.
Naomba kwa atakaekuwa na tenda za ajira ya udereva wa makampuni, binafsi...