Habari ndugu zangu,
Nimeona msukumo wa kuhamasisha matumizi ya nishati safi ambapo hatua mbalimbali zimechukuliwa na wanasiasa tofautitofauti,wengine wakigawa mitungi ya gesi idadi tofauti tofauti 3000, 1500 , 2000 n.k
Pamoja na nia njema hii kwa watanzania,lakini ukweli ni kwamba bado nishati...
TANZANIA NINAYOITAMANI BAADA YA MIAKA MITANO
Kila kitu katika hii dunia lazima kupitia nyakati tatu, wakati uliopita ambao unakuwa kama sehemu ya kurejelea yote tuliofanya nyuma, wakati uliopo ambao kwa asilimia nyingi hujengwa na wakati uliopita na wakati ujao ambao nao hujengwa na kuwa imara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.