Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko, amesema kuwa ukuaji wa uchumi wa nchi yoyote unategemea upatikanaji wa nishati ya uhakika na yenye gharama nafuu.
Soma Pia: Dkt. Biteko aeleza Tanzania inavyojiandaa kuuza umeme nchi jirani na uwepo wa soko la uhakika
"Kwa nchi...
Hapa Tanzania tuna vyanzo vingi tunavyoweza kuvitumia vizuri ili kupata nishati ya uhakika na kutosheleza mahitaji yetu lakini kila mwaka na kila awamu ya uongozi ni kama wanaanza upya kutatua changamoto ile ile iliyokuwepo tangu miaka ya 70.
Binafsi hoja yangu ni uzalishaji wa umeme kwa njia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.