nishauri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. NISHAURI

    Nipo jiji la Dar es Salamu zaidi ya mwezi mmoja Taaluma yangu ni upigaji picha (photograpy) lakini sina mwenyeji nini nifanye ?
  2. Msaada: Nimepoteza barua ya ajira na inahitajika kwenye madai ya malimbikizo ya mshahara, nifanyeje?

    Wakuu nimepoteza barua ya ajira na inahitajika kwenye madai ya malimbikizo ya mshahara! Nishauri kama unajua kitu Wakuu msaada tafadhari.
  3. Nishauri chochote niache kuyaogopa maisha

    Signed out forever
  4. Alianza kusoma BSc In Mechanical Engineering aka-drop out baada ya kuumwa. Je, kuna ofisi private zinazoweza kumpa kazi?

    Kuna kijana hapa alisoma BSc In mechanical Engineering, mwaka wa 3 semister ya 2 akaugua sana akashindwa kuendelea akaomba kuahirisha, mwaka uliofuata akaahirisha tena akae sawa kabisa. Alipotaka kurudi aendelee na masomo chuo walimpokea lakini bodi ya mikopo wakasema hana sifa kuendelea kupata...
  5. N

    Naombeni ushauri kuhusu kilimo cha nyanya

    Habari wadau, nimepanga kulima nyanya mwaka huu, nataka nitakazouza muda wa kuanzia mwezi wa 11 mpaka muda huu naomba mnishauri kwa yafuatayo; 1. Nianze kufulia mbegu lini 2. Nianze kulima lini? 3. Nilime mbegu gani, 4. Niandae mbolea zipi na zipi kwa mpangilio upi na upi 5. Nataka kulima nusu...
  6. Nishauri juu ya Tiles nisifanye makosa ya kawaida yanayoweza kuepukika

    Habari wakuu! Nimerudi tena baada ya kujikusanya na kujipanga sana. Nimefika hatua ya kuweka vigae (tiles). Sasa kuna jambo ambalo nimejaribu kupitia post mbalimbali na kugundua kwamba vigae pia vina daraja (grades) tofauti, yaani A, B, C. Kutokana na bajeti yangu, sioni uwezekano wa kutumia...
  7. Nishauri juu ya TV na Music System

    Nina Bajeti ya 1.5M kwa ajili ya TV 55" na 1M kwa ajili ya Music system. Lengo niviweke Master Bedroom. Naomba pendekezo la options ambazo sitajutia. Kwenye TV preference zangu ni true color quality (Ikiwezekana 8k) na kwenye sound system ni mtetemesho. Natanguliza shukrani
  8. Nishaurini, nisome nini?

    Habari waungwana, Poleni na hongereni kwa majukumu ya kulijenga Taifa, niokoe muda ili nisiwachoshe ndugu zangu, kitaaluma mimi ni mwalimu na tayari nina diploma ya physical education ambayo nilisoma nikiwa tayari nimeajiriwa lakini mpaka sasa haijanipa kile nilichokitaka. Kwasasa nataka...
  9. Nishauri series gani niangalie

    Nimeangalia series zifuatazo 1. Game of Throne 2.Tyrant 3. Godfather of Harlem 4. Banshee 5. Ozark 6.Narcos 7.Elchapo 8. 24 jack Bauer 9.Rome 10.Breaking Bad Naomba mnitajie series nzuri zitakazoendana na hizo
  10. Nishauri katika biashara hii nijifunze kutoka kwako

    Habari JF Wadau Pitia hapa kama una uzoefu nishauri jambo hili. Nataka nifungue ofisi kubwa mwezi wa kumi, ambayo itakuwa imebesed kwenye maswala ya exhibition display designer industrial / project designer(ila hiii sina hakika sana) web designer Photographer Advertising & promotions manager...
  11. Mpenzi wangu ana mahusiano na rafiki yangu

    Habarini wakuu , natumai mu wazima sana. Ishu iko hivi , wiki kadhaa nyuma kuna kitu kilitokea. Wakati nimetulia gheto na mchumba ,nilikuwa nimemuazima kidogo simu yake. Mara kuna text ikaingia ,nikaamua kuisomea tu kwa juu ya screen nikaiyona kwamba imetoka kwa mtu ninaemfaham , tena na...
  12. Soma taratibu kisa hiki kilichonitokea kisha nishauri

    Wakuu, Mwezi mmoja uliopita nilikuja nyumbani (kwa wazazi) kwa ajili ya Pasaka, hapa nyumbani pia nilijumuika na mdogo wangu wa mwisho (anasoma chuo) hapa nitamwita Denis (sio halisi) na mtoto wa Bro wangu (form two) hapa nitamwita Rama. Namshukuru Mungu Tumesherehekea vizuri Pasaka na kila...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…