nishaurini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Head current

    Ushauri: Hela ninazompa atunze zinakuwa pungufu bila maelezo ya kujitosheleza, nini kimejificha?

    Heshima kwenu wana jamvi! Niende moja kwa moja kwenye mada husika, Niliweka utaratibu kuwa kila siku nikirudi kazini nampa 10000 mwanamke wangu ambaye naishi nae na nilimkuta ana mtoto mdogo wa kiume mwenye kama miaka minne hivi na tunaishi wote watatu, hiyo hela haitumiwi hadi...
  2. Hammer11

    Mpenzi wangu amebadilisha dini tangu amenda kufanya kazi nchi za kiarabu

    Iko hivi mimi nilikuwa na msichana na tulipanga malengo tuoane kabisa huku Kenya sasa tatizo huyuu demu tarehe 05 mwezi wa 12 alipata kazi huko nchi za kiarabu yaan alienda Madina sasa huko sijuii bhana kimetokea nini bhana ametoka hapa ni Katolic na humwambiii kituu kuhusu kanisa. Na hata...
  3. nipo online

    Nimepata Tsh. Milioni 1.3, naomba ushauri wa aina ya biashara ninayoweza kufanya

    Nina hicho kiasi. Kichwani kwangu nina mawazo haya ya biashara lakini nasita ipi hasa na hizi zote nimezipata humu humu na kulingana na mazingira yangu. 1. Saloon na kuingiza movies na nyimbo. 2. Bodaboda ya million 1.2 dar napata nzuri. 3. Kinglion pikipiki dar ya lak 9. Then lak 4 nibebe balo...
Back
Top Bottom