nit

The National Institutes of Technology (NITs) are autonomous public institutes of higher education, located in India. They are governed by the National Institutes of Technology Act, 2007, which declared them as institutions of national importance alongside Indian Institutes of Technology. These institutes of national importance receive special recognition from the Government of India. The NIT Council is the supreme governing body of India's National Institutes of Technology (NIT) system and all 31 NITs are funded by the Government of India. These institutes are among the top-ranked engineering colleges in India and have one of the lowest acceptance rates for engineering institutes, of around 2 to 3 per cent, second only to the Indian Institutes of Technology (IITs) in India. All NITs are autonomous which enables them to set up their own curriculum. The language of instruction is English at all these institutes. As of 2019, the total number of seats for undergraduate programs was 21,133 and for postgraduate programs 8,050, in all the 31 NITs put together.

View More On Wikipedia.org
  1. TANROADS kwa kushirikiana na NIT waanzisha kituo cha umahiri cha usalama barabarani

    Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kwa kushirikiana na Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) wameanzisha kituo cha umahiri (Centre of Excellence) cha usalama barabarani, hatua inayolenga kuimarisha elimu, tafiti na teknolojia katika kupunguza ajali za barabarani...
  2. Kuita IFM, DIT, NIT na CBE kama vyuo ni makosa makubwa sana

    Vyuo vya ufundi kama VETA (Vocational Education and Training Authority) Vyuo vya ualimu kama DUCE (Dar es Salaam University College of Education) Vyuo vya afya kama Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS) IFM , CBE, DIT Wanafunzi mpaka anahitimu hajui kama anasoma kwenye...
  3. A

    KERO Changamoto ya usajili wa wanafunzi chuo cha NIT baada ya mfumo wa ulipaji ada kubadilishwa

    Chuo cha Taifa cha Usafirishaji kimekuwa na changamoto kwenye suala la usajili kutokana na kubadilishwa kwa mfumo wa ulipaji ada kutoka mara 4 kwa mwaka wa masomo mpaka mara 2 kwa mwaka wa masomo Wanafunzi wengi tunapata shida kufanya usajili kwasababu ya hali ngumu za kimaisha za familia zetu...
  4. Profesa Mgaya ateuliwa kuwa Mkuu wa chuo cha Usafirishaji (NIT)

  5. Naomba ufafanuzi kuhusu NIT Second round

    Wadau mwaka jana nilimsaidia mtu kuomba chuo diploma. Alikuwa amechelewa hivyo katika kutafuta nikapata NIT wako na second round application, nikamuombea hapo sasa mpaka leo akaunti yake inasema "application submitted keep visiting for updates". Anahisi sijamuombea mpaka akaniomba 10,000 yake...
  6. CHUO CHA USAFIRISHAJI NIT ACHENI UTAPELI

    Guys, niliombwa kumfanyia mtu maombi ya chuo na alichagua NIT, Nilifanya application second round na nikalipia na ikabaki kusubiri chaguzi, cha achabu nina wiki sasa nikijaribu kuingia kuangakia STATUS wanasema INCORRECT LOGIN, mwenye nilimuombea anaona kama sikuomba nimekula 10000 yake. Kama...
  7. Naomba utaratibu wa kupata cheti kingine cha NIT, nilichokuwa nacho kimepotea

    Naitwa Hussein Issa Nzomkunda nliibiwa begi lenye vyeti vyote ila hivo vingine nilishapata utaratibu wa kuvipata isipokua cha NIT tu. Kwa anaejua utaratibu wa kufuata anisaidie tafadhali.
  8. Waziri Mbarawa: Ujio wa ndege mpya, Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kupewa ndege za mafunzo ili Wazalishe Marubani

    Shirika la ndege Tanzania (ATCL) linatarajia kupokea ndege ya abiria ya masafa ya kati aina ya B737-9MAX ambayo uundaji wake umekamilika itakayowasiri kesho Oktoba 03, 2023. Ndege hiyo yenye uwezo wa kubeba abiria 181 katika madaraja mawili ambapo daraja la kawaida “economyclass” itabeba...
  9. Rais ateua Wenyeviti Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania na Chuo cha Taifa cha Usafirishaji

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavYo:- 1. Amemteua Bw. Andrew Wilson Massawe kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI). Bw. Massawe anajaza nafasi ya Dkt. Tausi Mbaga Kida aliyeteuliwa kuwa...
  10. Nimesoma NIT kozi ya Advanced Driver's Grade II VIP. Naomba kazi nina uzoefu wa miaka 4

    Naitwa Goodluck nina umri wa miaka 3, nimesoma NIT kozi ya Advanced Driver's Grade Two-VIP. Nina uzoefu wa miaka 4 katika kazi ya udereva na nina endesha gari za aina zote. License Class A, A2, B, C1,C2,C3,D na E.
  11. Miradi ya kimkakati Tanzania yawa chachu kwa vijana kuchangamkia kozi zote zinazohusu Reli, Meli na Anga zinazotolewa NIT

    Dhamira njema iliyooneshwa na serikali katika kukazania kujenga miradi ya kimkakati imetoa hamasa kwa Watanzania wengi kuchangamkia fursa ya kusoma kozi za huduma za usafiri wa reli, meli, bandari na anga katika chuo cha usafirishaji tanzania (NIT) Kwa Mujibu wa Mkuu wa Chuo amesema awali...
  12. A

    Chuo cha Usafirishaji cha Taifa (NIT) kina mchango gani katika kusaidia kupunguza ajali nchini?

    Nimeangalia hali ya usalama wa abiria katika vyombo usafiri wa umma kwa maana mabasi na wale ambao tunatumia vyombo binafsi na wadau wengine wanaotumia barabara nchini, ni kwamba kumekuwa na wimbi kubwa la ajali katika kipindi hiki kifupi cha Januari hadi March hii 2022. Ukiangalia vyanzo vya...
  13. Nime-fall in love huku JF...

    Katika hali ya kutatanisha nilijikuta nimefall in love na mwana JF mwenzangu. Tulianza kimzaha lakini baadae kizaha zaha! Radi HUPIGA mara moja. Bahati mbaya shetani aliingilia kati na kuzua taharuki kwenye mahusiano yetu! Nitampata wapi huyu binti mpaka namba za simu kabadilisha! Ni pale...
  14. M

    Naibu Waziri Jumanne Sagini: Serikali haihusiki na matukio ya moto

    Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Jumanne Sagini amesema kuwa serikali haihusiki na matukio ya moto yaliyotokea katika baadhi ya mikoa nchini na itawachukulia hatua watakaobainika kuhusika na matukio hayo. Chanzo: itvtz Endeleeni kudhani wote tu hatuna Akili. Nitakuwa wa mwisho...
  15. Aliyesikia fursa za kazi zilizotangazwa na chuo cha NIT atujuze hapa

    Mmesikia Clouds FM Radio leo asubuhi kuhusu fursa mbalimbali za kazi huko Canada Kama kuna aliyesikia fursa za kazi zilizotangazwa na chuo cha N. I. T atujuze hapa.
  16. Personal secretary I at NIT (2 Posts)

    POST: PERSONAL SECRETARY I – 2 POST POST CATEGORY(S): HR & ADMINISTRATION EMPLOYER: National Institute of Transport (NIT) APPLICATION TIMELINE: 2022-01-07 2022-01-20 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES To organizing and maintain a diary of appointments To deal with correspondences and...
  17. J

    Certificate (nta 1&2)ya auto electrica(veta) au diploma ya ict (nta 4,5 & 6) nit

    Habari za ndugu zangu Nimatumaini ya ni wazima,mimi ni muhitimu wa form iv 2014 (nifaulu kwa daraja la tatu) kwa alama ya phy C,chemistry E,math C,bio C,geo C,English B a mengine D yote... Sasa mwaka huu nataka niende chuo nika apply nit first choice ordinary diploma auto...
  18. D

    Naomba kufahamishwa ukweli kuhusu kozi mpya NIT

    Habari wadau poleni na majukumu, Nasikia kuna kozi mpya ama imepewa jina lingine, zamani ni Shipping and Port Management, sasa hivi inaitwa Cargo Shipping, je kuna anaejua ukweli wa hizi taarifa?
  19. Job opportunities at KUWASA, TICD, NIT, MOF and NHL

    Ref.No.EA.7/96/01/L/145 17Th June, 2021 VACANCY ANNOUNCEMENT On behalf of Kigoma Water Supply and Sanitation Authority (KUWASA), Tengeru Institute of Community Development (TICD), The National Institute of Transport (NIT), Ministry of Finance and Planning (MOF) and Ministry of Health, Community...
  20. Call For Interview UTUMISHI at WMA, ARU, WHC, KUWASA, TIE, NIT, MSD, April 2021

    INTERVIEW ANNOUNCEMENT Click below to download PDF: Bofya linki hapo chini kudownload PDF:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…