Maziwa ya mgando kwangu ni kama mboga za majani, chakula hakishuki bila mtindi
Kwa siku lazima nitumie gb 2 hadi 3, nazitumia kucheki youtube, netfllx, video calls, backups, updates, n.k. jf inatumia data kidogo sana
Sigara iliwahi kuwa kama ibada kwangu, nashukuru nimeacha