Katikati ya Ureno, kuna muundo wa miamba ambao unakinzana na matarajio yote ya kisayansi..
Upinde wake wa kustaajabisha na usio na dosari unazua swali—ni nini hasa kinaendelea hapa? Je, hii ilichongwa na nguvu tatanishi ya asili, au kuna kitu kibaya zaidi kinachoendelea hapa?
Taswira ya...
Iko hivi mimi niko na mdada kwenye mahusiano ni mdogo tu ako na 21 saivi.
Sasa kilichonileta ni kwamba huyu mdada kweli haniombi pesa na anakuja geto kwa wakati na tunafanya yetu vizuri sana.
Sasa huyu mdada ana watoto wawili ambao amezaaa na jamaaa sasa huyu demu anapenda sana mimi na yeye...
Hatua ya Rais Hussein Mwinyi kumteua Thabit Idarous Faina kuwa mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) ambayo ilikosolewa na Chama cha ACT Wazalendo kilichopendekeza asiapishwe, imekichanganya kiasi cha kuitisha mkutano wa dharura kujadili hatua za kuchukua.
Kikubwa kinacholalamikiwa na...
Wahudum wa bar wanahitajika haraka umri miaka 18-30 awe na uzoefu na kazi tajwa msafi na mwenye kauli nzuri kwa wateja.
Location Moshi Njia Panda.
Kwa wahitaji piga 0685940663
Habari wana jamvi!
Natumaini ni wazima wa afya, ni hivi niende kwenye mada husika hapo juu mimi ni kijana mwenye umri was miaka 39, nina mke na watoto 6 ila mke wangu nilimkuta akiwa na mtoto wa kiume wakati tunaoana mwaka 2002, jumla ukijumlisha tuna watoto 7.
Kiukweli huyo kijana mtoto wa...
Hii Ni story ya kweli ya jamaa yangu na jirani yangu huku nilipo.
Anasema mwaka 2019 alipewa taarifa na ndugu yake kwamba Kuna mradi unaanza wakati wowote na atalipwa pesa nzuri Sana.
Jamaa anasema alikuwa mkoa tofauti na huyo ndugu yake akaambiwa aandae vitu vifuatavyo Kama sehemu ya kazi...
Mimi nimeanza kazi 2018. Nilipofika tu kuna mwanaume mtu mzima akaanza kunitokea. Baada ya kunisumbua kwa muda mrefu nikampa masharti kuwa sitaki sex mpk ndoa, akakubali. Amekuwa akishinikiza kunioa lkn mm nimekuwa nikimkatalia na kumwambia asubiri niweke mipango yangu sawa.
Mwaka huu nimempa...
Kumekuwa na hii tabia hasa kwenye makanisa ya kilokole kumuita Mchungaji wako kuwa ni baba yako wa kiroho.
Huyu ni mtu ambaye hutakiwi kufanya jambo lolote bila kumshirikisha. Ukitaka kuoa au kuolewa lazima ukamuulize kwanza, umepata kiwanja lazima umuulize kuwa ununue au usinunue, unataka...
Hotuba ya Rais Samia hapo jana imeacha watu wengi nija panda. Binafsi naona kama ililenga zaidi kuyapooza makundi yaliyokuwa yanapiga kelele kama:
Vyama vya upinzani
Team Magufuli
Wafanyabiashara
Wananchi wengine kiukweli tumebaki njiapanda, maana hatujui ni upi uelekeo wa Rais hasa...
Habari wanabodi
Mimi ndugu yenu naishi maisha ya kawaida tu, ashukuriwe muumba nina kipato cha kuweza kubadili mboga na kadhalika, naamini nimependelewa kuliko wengi wanaonizunguka, sitaki kujikweza lakini si haba (ashukuriwe aliye juu).
Naishi maisha ya kawiada (common man life), tatizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.