Moja ya sababu kubwa anayolalamikia Wakili msomi Nkuba ni Taarifa za Matokeo kuanza kutolewa kabla Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi Hajatangaza.
Nkuba anaamini kabisa matokeo halali ni yale majumuisho yanayotangazwa na msimamizi wa Uchaguzi.
Namkumbusha tu Nkuba hii ni Dunia ya Sayansi na Teknolojia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.