no reform

The Constitutional Reform Act 2005 (c. 4) is an Act of the Parliament of the United Kingdom, relevant to UK constitutional law. It provides for a Supreme Court of the United Kingdom to take over the previous appellate jurisdiction of the Law Lords as well as some powers of the Judicial Committee of the Privy Council, and removed the functions of Speaker of the House of Lords and Head of the Judiciary of England and Wales from the office of Lord Chancellor.

View More On Wikipedia.org
  1. Pre GE2025 Wilbroad Slaa: Hata CCM wanasema kuhusu No Reforms No Election kazaneni hapo hapo. Mliona kilichofanyika Dodoma, wamevunja sheria!

    Wakuu, Kumbe kuna watu uko CCM na wenyewe wanapendezwa na hii agenda ya CHADEMA ya No Reforms No Elections? Akiwa anazungumza leo kwenye ukumbi wa Mlimani City wakati yuko kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake Dkt Slaa amesema kuwa kuna baadhi ya watu CCM wanaunga agenda ya CHADEMA ya No...
  2. Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: CHADEMA imepoteza imani na wananchi, No Reforms, No Election ni mkakati butu

    Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Iringa Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA na mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, Mchungaji Peter Msigwa ambaye kwa sasa ni Kada wa Chama cha Mapinduzi CCM ameibua mjadala mkali kuhusu hali ya CHADEMA, akidai kuwa chama hicho kimepoteza imani kwa...
  3. SIMBA SC: "NO REFORM, NO GAME", KIZAZI CHA MABADILIKO

    Ni masaa kadhaa tangu shirikisho la mpira wa miguu Tanzania, TFF kutoa taarifa rasmi ya kuahirishwa kwa mchezo na 178 wa ligi kuu Tanzania bara huku mashabiki na wadau wa soka nchini wakiachwa vinywa wazi. Taarifa hii imekuja mara baada ya timu Simba Sc ikidai kuzuiwa kufanya mazoezi yao ya...
  4. M

    Hoja ya "No reform, no election" mimi nakwenda na Lissu

    Suala hili limekua likikejeliwa na ccm bila kuja na hoja zenye mashiko. Hoja zangu ni hizi:- 1. Kwa upande wangu mimi, nikiangalia kwa upande wa vyama vya upinzani nabaini kwamba ni kichaa peke yake ndio anaweza kushiriki uchaguzi wa October, 2025 akiwa anajua kwamba asilimia 85 ya wagombea...
  5. Pre GE2025 Amos Makalla: Achaneni na Propaganda za "No reform", Uchaguzi upo, msidanganyike

    Katibu wa NEC, Itikadi Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, CPA. Amos Makalla akizungumza na Wanachama maeneo ya Mbezi Beach Jijini Dar es Salaam, alipokuwa kwenye mkutano na Mabalozi, Viongozi wa Kata, Madiwani na Wabunge wa Wilaya ya Kinondoni. Makalla amewataka Watanzania kupuuza madai ya Chama...
  6. Pre GE2025 Anayedhani NO REFORM NO ELECTION ni kwa faida ya CHADEMA atubu kwa Mungu wake haraka

    Kama una akili timamu na unawaza kwa kutumia kichwa na sio tumbo (maslahi binafsi) utagundua kuwa Nchi yetu imefika hatua mbaya sana. Kiongozi yeyote anapojua kuwa sio kura za Wananchi zinazoniweka Madarakani kamwe hawezi kuogopa kuwaibia hao wananchi fedha zao (kodi zao) Kiongozi yeyote...
  7. Pre GE2025 Maswali yangu kwa Wanaosema No Reform No Election haitafanikiwa

    Nawaona CCM na vibaraka wao wanapiga kelele sana kudai No Reform No Election haitafanikiwa kwa sababu vyovyote vile hakuna Watanzania watakaoweza kuwaunga mkono CHADEMA. Kelele hizi zinapigwa ili kwanza kuwakebehi Chadema na kuendeleza Propaganda za kuwarubuni Watanzania ili waendelee kuwa...
  8. No reform no election's

    MHESHIMIWA RAIS MUNGU AKIKUPA NAFASI HUWA HAIJIRUDII MARA MBILI na KUMBUKA kwamba anataka wakati wote utumie uta wala wako kwa hekima. 1. Ipe ZANZIBAR UHURU KAMILI kwa kuandika KATIBA ambayo uliisimamia (Zanzibar una wajukuu zako, una makaburi ya ndugu zako, Mila na desturi zote zipo ZANZIBAR)...
  9. SI KWELI Lissu amesema wanasitisha msimamo wao wa no reform no election

  10. Pre GE2025 Dkt. Slaa ametangaza kuwa yuko tayari kurejea CHADEMA na kufanya kazi bila kuchoka

    Baada ya kuachiwa huru leo, Dkt. Slaa ametangaza kuwa yuko tayari kurejea CHADEMA na kufanya kazi bila kuchoka kusukuma mabadiliko nchini mwetu. Pia, Soma: Dkt. Willibrod Slaa aachiwa huru, DPP hana nia ya kuendelea na kesi Akiongea leo nje ya Mahakama ya Kisutu baada ya kuachiliwa huru baada...
  11. T

    Pre GE2025 CHADEMA Mara yaunga mkono, No reform No election

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Mara kimetangaza msimamo wake wa kutoshiriki uchaguzi hadi pale masuala kadhaa yahusuyo haki na usawa wa uchaguzi yatakapotatuliwa. Akizungumza katika kikao cha Baraza la Mashauriano la Chadema Mkoa wa Mara kilichofanyika wilayani Butiama...
  12. Pre GE2025 Kijana mzalendo David Nkindikwa apinga vikali kauli ya CHADEMA ya 'No Reform, No Election'

    Kijana mzalendo David Nkindikwa amepinga vikali kauli ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) chini ya Mwenyekiti wake ngazi ya taifa Tundu Lissu kuhusu msimamo wa "No Reform, No Election", inayoashiria kuwa hakutakuwa na uchaguzi bila mageuzi ya mfumo wa uchaguzi, akisisitiza kuwa...
  13. Kama CHADEMA wanataka kusema no reform no elections tarehe 27 February jambo gani litatokea?

    Mi nafikiria hautakuwepo Mkutano wowote wa Chadema kesho kutwa. Kama lengo ni kuanzisha Kampeni ya no reform no elections na kuipeleka nje ya nchi.
  14. Tetesi: ACT Wazalendo : Kufanya Mkutano wa Halmashauri Kuu kubadili agenda ya No Reform No election

    Wakuu Kwa Taarifa zilizonifikia ni kuwa kikao cha Tundu Lissu pamoja na Ado Shaibu (KM ACT WAZALENDO) na Ismail Jussa, kilichofanyika jana ofisi za chadema AGENDA yao ilikuwa ni kuhusu NO REFORM NO Elections na hivyo wamekubaliana, hiyo imepelekea ACT kuitisha halmashauri kuu ili AGENDA hiyo...
  15. Pre GE2025 Tundu Lissu: Tuna upungufu wa kutisha wa fedha kwa ajili ya shughuli za Chama (CHADEMA), msiniulize nimekuta nini, jibu halitakuwa zuri!

    Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Lissu akiwa Kibamba akizungumzia urataibu wa kujiunga na Chama amesema kama Chama Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar...
  16. "No Reform, No Election" mbona imewapanikisha watu kibao kuanzia viongozi mpaka wataalam wa siasa,wazee si mnakubalika, au?

    Naona kila mtu kapaniki, watu mlikuwa na matokeo yenu mkononi nini? Fanyeni siasa, si huwa mnajisifu mnakubalika na raia sasa wasiwasi wa nini!!! Iwekwe tume huru pale watu tupige kura. Watu walikuwa wanafanya upinzani kama mtaji tu. Tushachoka maigizo yenu. Hakuna nchi iliyowekeza kwenye...
  17. Kwa namna hoja ya No Reform No Election ilivyo na mashiko, Tutarajie kuwaona vibaraka wote wakiji-expose

    Kati ya jambo ambalo Wapinzani wa nchi hii hawakuwahi kulijua huko nyuma ni kwamba sehemu pekee ya kushikilia kwenye nchi hii ili tupate mabadiliko ya kweli kwa maslahi mapana ya Taifa ni KATIBA MPYA. Uzoefu wangu katika kuwa mwanachama hai wa CCM kwa takriban Miaka 30 umenionesha vizuri sana...
  18. Wenyeviti wa vyama vingne vya upinzani mnasubiri nini kujitokeza hadhani ku support No Reform, No Election

    Wenye viti wa vyama vingne vya upinzani mna subiri nini kujitokeza hadhani ku support NO REFORM, NO ELECTION. Mzee wa ubwabwa, Act wazalendo, cuf, nk
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…