Nollywood, a portmanteau of Nigeria and Hollywood, is a sobriquet that originally referred to the Nigerian film industry. The origin of the term dates back to the early 2000s, traced to an article in The New York Times. Due to the history of evolving meanings and contexts, there is no clear or agreed-upon definition for the term, which has made it a subject of several controversies.
Ulishawahi angalia filamu ukajikuta una question your reality? una-question everything? Yaani filamu imeilenga akili yako mtazamaji kama ni sehemu ya mchezo. Basi huo ni mfano wa Mind bending/blowing movie.
kwa matumizi ya uzi huu: Mind bending films films ni aina ya filamu zenye lengo la...
Muonagor alifariki jana baada ya kupambana na ugonjwa wa figo kwa muda mrefu.
Hii ilikuja siku chache baada ya video iliyosambaa ambapo aliiomba msaada wa kifedha kutoka kwa wanaijeria ili kumwezesha kusafiri nje ya nchi kwa ajili ya upandikizaji wa figo.
Akithibitisha habari hizo za...
Ulimwengu wa Filamubza Nigeria 'Nollywood' umempoteza nyota wao wa filamu hasa za Vichekesho, John Okafor maarufu kwa jina la Mr Ibu (62) chanzo kikitajwa ni kupata Mshtuko wa Moyo ikiwa ni baada ya kuwa mgonjwa kwa muda mrefu.
Mr Ibu aliyeigiza zaidi ya filamu 200 amefariki wakati alipokuwa...