normax

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    Nakaribia kumaliza dawa nilizoshauriwa na Daktari lakini nahisi bad sipo sawa

    Natanguliza salama kwa WanaJF wote natumain ni wazima kuja kwangu hapa leo nimepatwa na typhoid so nikaenda kwa doctor nikapata vipimo ×3 UTI, Malaria na typhoid majibu yakaja kuwa naumwa Typhoid na Malaria. Nikapewa dozi kwa maralia nimetumia mseto na panadol na kwa upande wa typhoid nlipewa...
Back
Top Bottom