Natanguliza salama kwa WanaJF wote natumain ni wazima kuja kwangu hapa leo nimepatwa na typhoid so nikaenda kwa doctor nikapata vipimo ×3 UTI, Malaria na typhoid majibu yakaja kuwa naumwa Typhoid na Malaria.
Nikapewa dozi kwa maralia nimetumia mseto na panadol na kwa upande wa typhoid nlipewa...