Bwana Twaha! Sikia
Mie, nilivuliwa uongozi wangu kwa maelekezo ya TAL Januari 9, 2025.
Nami, siku hiyo-hiyo ya Januari 9, 2025, niwasilisha rufaa yangu kwa KM tena kwa hati ya dharula chini ya Wakili wangu
johnmallya
Mpaka jana, Kamati Kuu imefanya vikao zaidi ya 4, lakini hawajasikiliza...