nuhu

Nuhu is a given name. Notable people with the name include:

Nuhu Abdullahi (born 1991), Nigerian actor and producer
Nuhu Bajoga, Nigerian politician
Nuhu Bamalli (1917–2001), Nigerian foreign minister
Nuhu Bature (died 2021), Nigerian traditional ruler
Nuhu Gidado (born 1958), Nigerian politician
Nuhu Aliyu Labbo (born 1941), Nigerian politician
Nuhu Mbogo Kyabasinga (1835–1921), prince of the Buganda Kingdom
Nuhu Muzaata (1955–2020), Ugandan Muslim leader and spokesperson
Nuhu G. Obaje (born 1961), Nigerian professor
Nuhu Ribadu (born 1960), Nigerian politician and police officer

View More On Wikipedia.org
  1. Down To Earth

    Safina ya Nuhu ilibeba viumbe hai zaidi ya Milioni Saba. Hakuna Teknolojia ya namna hii kuja kutokea namna hii

    Miaka zaidi ya elfu 2 imepita sasa toka gharika iukumbe Ulimwengu.. Nuhu alitengeneza Safina, Chombo kilichobeba Viumbe hai, jinsia ke na me zaidi ya milioni saba mpaka sasa hakuna Mwanadamu anayeweza kutengeneza Kifaa kama Safina ya Nuhu.. Hayupo! Hakuna meli, boti wala jahazi lenye uwezo...
  2. Metronidazole 400mg

    Mnafeli pekee aliyepona kwenye gharika la Nuhu (Mfalme Ogu au Uj Bin Anaq-kiarabu)

    Mfalme Ogu anatajwa kwenye vitabu vya dini kuu tatu za mashariki ya kati yaani Uislam, Ukristo na Uyahudi. NB: Nimezingatia dini zote tatu zinavyomzungumzia Inaelezwa alikuwa ni mfalme aliyetawala eneo la Canaan (Palestina/Israel ama jordan ya sasa)katika ulimwengu wa kale takriban miaka zaidi...
  3. Kaka yake shetani

    Dhana ya Adam na Hawa kuwa wa mwanzo kwenye dunia na hadithi ya Nuhu ni mada ambazo zimekuwa na hukakasi nyingi za kifikra na kidini

    Watu wamekuwa wakibishana kuhusu uhalisia wa hadithi hizi na jinsi zinavyolingana au kutofautiana na maarifa ya kisayansi na historia. Kwa mfano, wengine wanachukulia hadithi ya Adam na Hawa kama tafsiri ya kiroho zaidi kuliko kama historia halisi, huku wengine wakiiona kama ukweli wa...
  4. JoJiPoJi

    TANZIA Malu Stonch (Nuhu) afariki Dunia. Alikuwa akitumbuiza jukwaani

    Mwimbaji nyota wa FM Academia, Malu Stonch amefariki dunia baada ya kuanguka ghafla jukwaani. Hali hiyo imetokea katika ukumbi wa Target Mbezi, Beach, Jumamosi usiku wakati mwimbaji huyo akiwa jukwaani anaimba wimbo wa "Hadija". Inaelezwa kuwa wakati anaimba wimbo huyo, Malu Stonch...
Back
Top Bottom