nukta

The nuqta (Hindi: नुक़्ता, Persian: نُقطه‎, romanized: noqte Urdu: نقطہ‎, romanized: nuqtā; from Arabic: نقطة‎, romanized: nuqta, lit. 'dot'), also spelled nukta, is a diacritic mark that was introduced in Devanagari and some other Indian scripts to represent sounds not present in the original scripts. It takes the form of a dot placed below a character. Also, in another sense deriving from the Arabic script itself, there "are some letters in Urdu that share the same basic shape but differ in the placement of dots(s) or nuqta(s)" in the Urdu script: the letter ع ain, with the addition of a nuqta, becomes the letter غ g͟hain.

View More On Wikipedia.org
  1. Mwanamayu

    Hivi kwenye hesabu za desimali (decimal numbers), baada ya nukta tunatamka tarakimu moja baada ya nyingine au kwa pamoja kama vile nzima?

    Nimesikia wasomi wawili wa ngazi ya PhD wakitofautiana katika kutaja desimali (decimal notation). Mmoja ana PhD ya kusomea na mwingine ya heshima. Alianza yule mwenye PhD ya kusomea na kusema kwa majigambo na kujiamini kuwa mteuliwa amepata asilimia themanini na tisa nukta arobaini na mbili...
  2. Patriot missile

    PICHA: Miamba ya Upinzani yenye misimamo isiyoyumba hata nukta moja yakutana kwaajili ya mazungumzo juu ya hatma ya CHADEMA na WanaChadema

    Taifa hili limewekwa na Mungu mikononi mwenu hakikisheni mnasimama kuhesabiwa hata kama ni kwa chapa ya moto.
  3. waungwanaTz

    Simulizi za waungwana: Kwa asiyejua kusoma,nukta kwake haina maana

    Nukta. Licha ya kuonywa mara kadhaa, Chuwa hakuwa msikivu. Aliendelea na tabia zake, japo alifahamu kuwa tabia hizo zinamuumiza sana mkewe. Siku moja,Chuwa alifanya yake tena. Aliporudi nyumbani,mkewe hakumsemesha. Alimuandalia chakula kisha akaondoka zake. Wakati mkewe anaondoka,macho ya Chuwa...
  4. tpaul

    Vifo vya ghafla vya Lemtuz na Membe, naanza kuunganisha nukta!

    Awali ya yote natoa pole kwa familia za Lemtuz na Membe kwa kuondokewa na wapendwa wao. Kifo ni fumbo kubwa. Vifo hivi vimetokea ghafla, hasa kipindi hiki ambacho baridi imeanza kukolea. Le Mutuz na Membe wakati wakiwa hai (Chanzo:Mtandao) Kwa...
  5. R

    Watanzania walio wengi hawatumii nukta wala kituo

    Watanzania wengi wa elimu katika ngazi tofauti tofauti si watumiaji wa nukta au kituo katika uandishi. Habari inaandikwa paragraph nzima mistari kumi no mkato no nukta. Je, changamoto ni wazazi wetu, waalimu au ni utamu wa Kiswahili?
  6. KING KIGODA

    Ni zipi nukta muhimu kuonekana kwenye daftari la mapato na matumizi?

    Habari wanao! Nina biashara ya mashine ya kukoboa mahindi na kusaga. Nimeanza mwezi wa tatu mwaka huu, tatizo bado sijafahamu namna bora ya kuziweka hesabu kwenye daftari. Na lengo hasa ni kutengeneza mahesabu yatakayo tumika kufanyiwa makadrio TRA. Naomba wenye uzoefu mnisaidie. ASANTENI.
Back
Top Bottom