Wadau hamjamboni nyote?
Nawaslisha hoja ya kizalendo kwa Wazalendo nikiomba mniunge mkono kwa maslahi mapana ya taifa letu.
Niombe Wizara ya Elimu iandae mtaala mahsusi mashuleni kufundisha nukuu, mausia, maonyo, maono, maelekezo, maagizo na ushauri wa Rais Samia na Viongozi wajao
Niombe...