number plate

A vehicle registration plate, also known as a number plate (British English), license plate (American English), or licence plate (Canadian English), is a metal or plastic plate attached to a motor vehicle or trailer for official identification purposes. All countries require registration plates for road vehicles such as cars, trucks, and motorcycles. Whether they are required for other vehicles, such as bicycles, boats, or tractors, may vary by jurisdiction. The registration identifier is a numeric or alphanumeric ID that uniquely identifies the vehicle or vehicle owner within the issuing region's vehicle register. In some countries, the identifier is unique within the entire country, while in others it is unique within a state or province. Whether the identifier is associated with a vehicle or a person also varies by issuing agency. There are also electronic license plates.

View More On Wikipedia.org
  1. Wenye Pesa Mnaitwa: Mnada wa Number Plate Special za Magari kufanyika tar 5 April

    Kuna taasisi inayojihusisha na mambo ya minada, ikishirikia na TRA Tanzania wamekuja na mnada wa namba za magari special kumi na 7 watakazo ziuza Tar 05 April. Kushirikia namba moja ni Pesa ya Kitanzania Million 15, kwahiyo bei ya namba husika itategemea na jina au uhutaji wa namba. Baadhi...
  2. Wewe Tajiri mwenye Ferrari nyekundu, custom number plate "SPYDER" upo humu JF?

    Aisee! Kwenda Coco mara moja tu napisha na chuma ya Italia, iko na custom number "SPYDER". (Picha nimetumiwa tu baadae)! Nakuja ambiwa ni kijana kutoka Familia ya kitajiri wauza rambaramba na unga wa ngano. Ferrari 458, 4.5 V8 engine, wazee wa 5km/L. Tutafute hela
  3. Inakuaje gari la mwaka 2020 au zaidi linakuwa na Plate namba “A”?

    Habari za asubuhi wana jamvi, bila kupoteza muda twende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Najua wengi mtakua mashuhuda wa mada tajwa hapo juu. Binafsi ni zaidi ya mara moja nakutana na gari new model kabisa, mfano leo nimekutana na Prado 2020 lakini chaajabu plate namba yake inasoma A...
  4. Tukifika kwenye number plate G nanunua gari, kwasasa sitaki tumia herufi yoyote ile

  5. Kamata kamata tinted taa za Magari

    Kwa wale waliobahatika kuwa na usafiri kama umebandika tinted kwenye taa za mbele na nyuma kuna msako wakukamata unafanywa na polisi --- Jeshi la Polisi kupitia Kitengo cha Usalama Barabarani limesema litaendelea kuwakamata madereva wa magari wanaoweka ‘tinted’ kwenye taa za mbele na nyuma...
  6. Kenya kuanza kutumia namba za magari za Dijitali

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Kenya, Fred Matiang’i amesema wananchi wamepewa miezi 18 kubadili Namba za zamani na kuweka mpya ambapo magari Milioni 4.8 yaliyosajiliwa yataingia kwenye utaratibu huo. Muda huo hautahusisha magari mapya ambayo yatatakiwa kusajiliwa na mfumo mpya wa Number Plates...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…