Sara Nuru (born 19 August 1989) is a German fashion model and entrepreneur. She was the winner of the fourth cycle of Germany's Next Top Model.
Since 2016, Nuru has been running nuruCoffee, a fair trade coffee company, and supporting Ethiopian women with microcredits through her non-profit nuruWomen.
Sipo Hapa Kubeza,Kukashifu au Kutweza Dini Au Imani ya Mtu yeyote",
Hivyo Tafadhari Wazee wa kuita Wengine Wapinga kristo Au Makafiri Mpite Mbali Huu Uzi Hauwahusu".
Sina Shaka Na Uwepo Mungu Kwa Uelewa Wangu wa Kupembua Mambo Nimejiridhisha Na Kuthibitisha Uwepo Wa Mungu".
Ila Kwa Miaka 23 Ya...
Wewe Kijana unayejichua na wewe Kijana ambaye unaendeshwa na uzinzi
Fanya hivi
Maliza mwezi mmoja bila sex au kujichua
Hakikisha unakula vizuri na kunywa maji.
Kisha kajiangalie katika kioo utaona jinsi uso utakavyokuwa na Nuru.
hii ni maalum kwa wanaoamini sana misemo ya yatapita, mwisho wa giza kuna nuru, n.k.
dunia ni katili sana
Si kila hali ngumu huwa inapita
wapo watu wamesota sana shuleni lakini hawajapata ajira na wanachokiweza zaidi ni kazi walizosomea
wapo watu wame haso sana kwenye biashara lakini hakuna...
👉ALLAH Akujalie Kheri Katika Dunia na Akhera
👉ALLAH Akuifadhi Katika Kila Hatua
👉 ALLAH Akusitiri Katika Aibu Zako
👉 ALLÀH Akupe Wepesi Katika Maisha Ya Dunia
👉 ALLAH Akurudhuku Moyo wa Ukarimu
👉ALLAH Akupe Marafiki wenye Kheri na Wewe
👉 ALLAH Akuepushe na Shari na Kila Aina ya Shari
👉 ALLAH...
Salaam shalom!!
Maandiko yanasema vita na uasi ulitokea Mbinguni, ndipo Dunia ikaumbwa tukaletwa hapa Kisha shetani pia akatupwa huku tulipo Ili vita iendelee,
Tafsiri hapo ni kuwa, battle ground ya vita ilihamishiwa duniani, sasa twende mbele kujua mambo kadhaa wa kadhaa.
Mifumo yote ya...
Frank Sinatra, John William Coltrane, Miles Dewey Davis au Dean Martin, wengine wanaweza kusema kuwa kuna mwamba Nat King Cole, au wakati mwingine Bing Crosby ila binafsi acha nimtaje Mzee wa kazi Louis Daniel Armstrong maarufu kama Satchmo ama Pops, moja ya wanamuziki wakubwa waliotumia vyema...
Wakuu habari, poleni na majukumu ya kila siku.
Ni hivi wadau kila nikishika simu yangu nakuiona app ya JF napata hasira natamani kupigiza simu yangu chini, Maana bila platform hii huwenda maisha yangu yangekua na amani na matumaini.
Mimi sio mdau saana wakuandika nyuzi humu JF lakini...
Ndugu zangu Watanzania,
Kuna watu wamezaliwa na kuwepo hapa Duniani kama vyombo vitumiwavyo na Mwenyezi Mungu kuvusha,kuponya,kuokoa,kufuta machozi, kufariji na kuwapa matumaini watu wake.kuna watu Mungu yupo ndani yao na aliwaumba kwa makusudi maalumu na anaendelea kuwalinda na kuwainua ili...
Kulikuwa na nuru kuwa serikali, polisi, mahakama, bunge to mention but a few, for that matter, watatenda kazi zao bila kuonea upinzania (hasa chadema) na kufuata sheria zilizopo ingawa ni mbovu, kama ilivyokuwa wakati wa Magufuli.
Sasa, jana na juzi yameanza kujirudia yale yale ya kutesa...
Ufalme wa giza na ufalme nuru ni falme mbili ambazo mwanadamu akitaka kuingia na kufanya kazi katika moja ya hizi falme ni lazima awe na uwezo wa kuingia Ulimwengu wa Roho.
Ulimwengu wa roho (Spiritual realm)
Kwa akili ndogo ya kibinadamu tunakutana na mambo mengi sana ambayo yanashangaza...
Wadau wote na waungwana!
Mchakato unaendelea katika kufanikisha kuingia mkataba na kampuni ya DP World ni jambo jema ambalo litaleta Mapinduzi makubwa katika sekta ya Bandari nnchini.
Hayo maneno yote yanayosemwa kuhusu ujio wa DP World ni hisia tuu bila ya kuwa na uhalisia wowote na ndio...
Mh. Nuru kuweka mwangaza gizani
Katika Kijiji kimoja cha Tutafika , nchi ya Gizani, kulikuwa na kiongozi wa kipekee aliyeitwa NURU GIZANI, Jina lake lilimaanisha "kufunuliwa au kuondolewa Kwa maskini" ambapo Gizani ni umaskini na shida zote ", na Nuru ni ujasiri na kujituma kwake. Alivutia na...
Asilimia kubwa ya Watanzania tumefurahi baada ya kuona Rais Samia Suluhu anasimamia haki kwa Watanzania wote amesema Uwepo wa amani nchini ni chachu ya maendeleo ya kijamii, kisiasa.
Mara nyinyi panatokea uvunjifu wa amani, ni kwamba haki imepotezwa, na haki ikipotezwa na amani inakuwa haipo...
This post intends to show the origins of Nuru, its purpose, what it can be used for, what it should not be used for and the potential future of the programming language.
Background
This language is the direct child of a programming language called "Monkey Language" made by Thorston Ball. He...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.