nuru

Sara Nuru (born 19 August 1989) is a German fashion model and entrepreneur. She was the winner of the fourth cycle of Germany's Next Top Model.
Since 2016, Nuru has been running nuruCoffee, a fair trade coffee company, and supporting Ethiopian women with microcredits through her non-profit nuruWomen.

View More On Wikipedia.org
  1. Hamissi Hamza Jr

    Uislam na Ukristo (Monotheism) havina nuru

    Sipo Hapa Kubeza,Kukashifu au Kutweza Dini Au Imani ya Mtu yeyote", Hivyo Tafadhari Wazee wa kuita Wengine Wapinga kristo Au Makafiri Mpite Mbali Huu Uzi Hauwahusu". Sina Shaka Na Uwepo Mungu Kwa Uelewa Wangu wa Kupembua Mambo Nimejiridhisha Na Kuthibitisha Uwepo Wa Mungu". Ila Kwa Miaka 23 Ya...
  2. Manfried

    Kwanini mtu usipofanya ngono wala kujichua unakuwa na nuru sana usoni?

    Wewe Kijana unayejichua na wewe Kijana ambaye unaendeshwa na uzinzi Fanya hivi Maliza mwezi mmoja bila sex au kujichua Hakikisha unakula vizuri na kunywa maji. Kisha kajiangalie katika kioo utaona jinsi uso utakavyokuwa na Nuru.
  3. G

    Kusota kwenye maisha haimaanishi kuwa baadae utatoboa, unaweza kudumu na hali hio au iwe mbaya zaidi, si kila msoto una nuru.

    hii ni maalum kwa wanaoamini sana misemo ya yatapita, mwisho wa giza kuna nuru, n.k. dunia ni katili sana Si kila hali ngumu huwa inapita wapo watu wamesota sana shuleni lakini hawajapata ajira na wanachokiweza zaidi ni kazi walizosomea wapo watu wame haso sana kwenye biashara lakini hakuna...
  4. Nyanda Banka

    Dua yenye nuru, itikia amiin

    👉ALLAH Akujalie Kheri Katika Dunia na Akhera 👉ALLAH Akuifadhi Katika Kila Hatua 👉 ALLAH Akusitiri Katika Aibu Zako 👉 ALLÀH Akupe Wepesi Katika Maisha Ya Dunia 👉 ALLAH Akurudhuku Moyo wa Ukarimu 👉ALLAH Akupe Marafiki wenye Kheri na Wewe 👉 ALLAH Akuepushe na Shari na Kila Aina ya Shari 👉 ALLAH...
  5. R

    Je, Dunia ni battle field ya UJASUSI kati ya ufalme wa Nuru vs ufalme wa Giza?

    Salaam shalom!! Maandiko yanasema vita na uasi ulitokea Mbinguni, ndipo Dunia ikaumbwa tukaletwa hapa Kisha shetani pia akatupwa huku tulipo Ili vita iendelee, Tafsiri hapo ni kuwa, battle ground ya vita ilihamishiwa duniani, sasa twende mbele kujua mambo kadhaa wa kadhaa. Mifumo yote ya...
  6. Damaso

    Luis Armstrong: Musicians do not retire. They just stop playing.

    Frank Sinatra, John William Coltrane, Miles Dewey Davis au Dean Martin, wengine wanaweza kusema kuwa kuna mwamba Nat King Cole, au wakati mwingine Bing Crosby ila binafsi acha nimtaje Mzee wa kazi Louis Daniel Armstrong maarufu kama Satchmo ama Pops, moja ya wanamuziki wakubwa waliotumia vyema...
  7. FORTUNE JR

    Najiona maisha Yangu yakikosa nuru kabisa na kuelekea ukingoni

    Wakuu habari, poleni na majukumu ya kila siku. Ni hivi wadau kila nikishika simu yangu nakuiona app ya JF napata hasira natamani kupigiza simu yangu chini, Maana bila platform hii huwenda maisha yangu yangekua na amani na matumaini. Mimi sio mdau saana wakuandika nyuzi humu JF lakini...
  8. L

    Maisha ya Rais Samia hapa Duniani yameleta Nuru kwa mamilioni ya Watanzania

    Ndugu zangu Watanzania, Kuna watu wamezaliwa na kuwepo hapa Duniani kama vyombo vitumiwavyo na Mwenyezi Mungu kuvusha,kuponya,kuokoa,kufuta machozi, kufariji na kuwapa matumaini watu wake.kuna watu Mungu yupo ndani yao na aliwaumba kwa makusudi maalumu na anaendelea kuwalinda na kuwainua ili...
  9. R

    Maridhiano ya serikali na CHADEMA mustakabali wake ukoje kwa hali ya sasa ya utendaji wa polisi?

    Kulikuwa na nuru kuwa serikali, polisi, mahakama, bunge to mention but a few, for that matter, watatenda kazi zao bila kuonea upinzania (hasa chadema) na kufuata sheria zilizopo ingawa ni mbovu, kama ilivyokuwa wakati wa Magufuli. Sasa, jana na juzi yameanza kujirudia yale yale ya kutesa...
  10. Surya

    Tumikia ufalme wa nuru / Tumikia Ufalme wa Giza

    Ufalme wa giza na ufalme nuru ni falme mbili ambazo mwanadamu akitaka kuingia na kufanya kazi katika moja ya hizi falme ni lazima awe na uwezo wa kuingia Ulimwengu wa Roho. Ulimwengu wa roho (Spiritual realm) Kwa akili ndogo ya kibinadamu tunakutana na mambo mengi sana ambayo yanashangaza...
  11. D

    DP-World nuru ya kuboresha utendaji na ufanisi katika sekta ya Bandari nchini Tanzania

    Wadau wote na waungwana! Mchakato unaendelea katika kufanikisha kuingia mkataba na kampuni ya DP World ni jambo jema ambalo litaleta Mapinduzi makubwa katika sekta ya Bandari nnchini. Hayo maneno yote yanayosemwa kuhusu ujio wa DP World ni hisia tuu bila ya kuwa na uhalisia wowote na ndio...
  12. P

    SoC03 Mh. Nuru kuweka mwangaza gizani

    Mh. Nuru kuweka mwangaza gizani Katika Kijiji kimoja cha Tutafika , nchi ya Gizani, kulikuwa na kiongozi wa kipekee aliyeitwa NURU GIZANI, Jina lake lilimaanisha "kufunuliwa au kuondolewa Kwa maskini" ambapo Gizani ni umaskini na shida zote ", na Nuru ni ujasiri na kujituma kwake. Alivutia na...
  13. N

    Watanzania tumeona nuru

    Asilimia kubwa ya Watanzania tumefurahi baada ya kuona Rais Samia Suluhu anasimamia haki kwa Watanzania wote amesema Uwepo wa amani nchini ni chachu ya maendeleo ya kijamii, kisiasa. Mara nyinyi panatokea uvunjifu wa amani, ni kwamba haki imepotezwa, na haki ikipotezwa na amani inakuwa haipo...
  14. AVIC3NNA

    About Nuru, A Swahili Programming Language

    This post intends to show the origins of Nuru, its purpose, what it can be used for, what it should not be used for and the potential future of the programming language. Background This language is the direct child of a programming language called "Monkey Language" made by Thorston Ball. He...
Back
Top Bottom