nyadhifa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pre GE2025 Kabla ya Uchaguzi Mkuu, viongozi wafuatao hawatakiwi kuendelea na nyadhifa zao. Hawana sifa na wamepoteza mvuto kwa jamii

    ( 1) Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba, anaonekana kama Wizara ya Fedha ni mali yake na ni kama aliyemteua kapigwa upofu huyu mtu ni hatari sana katika kusimamia mambo ya fedha za nchi na Kuna viashiria vingi vya ufisadi tunahisi huenda Kuna Siri kubwa kati yake na aliyemteua...
  2. Usihatarishe maisha yako kwa kuwatetea wapumbavu!

    Huwa nasema kila siku humu, usihatarishe maisha yako kwa kuwatetea wapumbavu! Watanzania wangekuwa wanajielewa CCM ingeshang'olewa kitambo. Ona Lissu kapata ulemavu sababu ya kutetea wapumbavu. Ona Msigwa leo yuko CCM, upumbvu mtupu! Watanzania wanachoweza ni ngono, uchawi, majungu na umbea...
  3. Tusiendekeze nyadhifa(titles) za kifamilia katika siasa na uongozi wa umma

    Kuitana "mama yangu", "baba yangu", "mdogo wangu", "kaka yangu", "dada yangu", "shangazi yangu", "shemeji yangu" na vyeo vingine kama hivyo katika shughuli za siasa na umma ni utamaduni mpya uliovuka mipaka, kushika kasi na sasa unaanza kukomaa. Zamani vyeo vya kifamilia ambavyo nilikuwa...
  4. Viongozi: Kabla ya kuwa katika nyadhifa mbalimbali walianzia huku

    ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ณ Narendra Modi - Tea seller ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฆ Volodymyr Zelensky - Comedian ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ฑ Edi Rama - Painter ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡บ Tony Abbott - Trainee Priest ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฌ Boiko Borisov - Bodyguard ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฆ Justin Trudeau - Bouncer ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฆ Stephen Harper - Mailroom Assitant ๐Ÿ‡ญ๐Ÿ‡ท Ivo Josipovic - Music Composer ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท Nicolas Sarkozy - Cleaner ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡น Jimmy Morales -...
  5. Tunduma: Wakuu wa shule wavuliwa nyadhifa kisa wimbo wa Zuchu (Honey)

    Baada ya kipande cha video kinachowaonesha watoto wa shule za msingi wakicheza wimbo wa msanii Zuchu โ€˜Honeyโ€™ wilayani Tunduma kusambaa mitandaoni, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda ameagiza walimu wakuu wawili wa shule hizo wavuliwe vyeo. Amesema hayo nje ya Bunge...
  6. Natabiri mapema hapa Mtoto Mmoja wa Marehemu Kuteuliwa nyadhifa za Serikalini / Siasa

    Katilka nafasi za DAS au RAS au DED au DC au RC na hata Ubunge wa Kuteuliwa na Mheshimiwa Rais aliyeko. Na hili linaweza kufanyika ndani ya Miezi Sita au Kenda (Tisa) au hata Miezi Kumi na Mbili ijayo ili Kuwafariji na Kubebana. Uzi wangu huu Utunzwe tafadhali.
  7. Kuwa na nyadhifa zaidi ya moja

    Niende moja kwa moja, hii nchi kuna watu wamejilimbikizia vyeo na watu ni wale wale tangu 80's na 90's ndio wapo kwenye system. 1. Imagine mtu ni MBUNGE halafu ni WAZIRI 2. Imagine mtu ni MWENYEKITI WA BODI fulani halafu anapewa tena taasisi nyingine Vijana waliozaliwa 90's sijui watapikwa...
  8. G Malisa: Kamati Kuu ya CCM imewavua nyadhifa zao ndani ya chama viongozi wa UVCCM waliokubali teuzi mpya

    Kamati kuu ya CCM imewavua nyadhifa zao viongozi wakuu wa umoja wa vijana baada ya viongozi hao kukubali uteuzi wa nafasi nyingine. Viongozi hao ni Mwenyekiti Kheri James, Makamu Mwenyekiti Tabia Maulid na Katibu mkuu Raymond Mangwala. Wamevuliwa vyeo vyao kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi za...
  9. Utaratibu wa kuteua wanajeshi kushika nyadhifa za kiraia haufai

    Nazidi kusikitika kuona utawala na mamlaka ya raia yanapokonywa. Wanasiasa kama unaona huna uwezo wa kuwaongoza hao militant bila kuwaingiza kwenye siasa basi waondoe kwanza jeshini wabaki civilian then ndiyo uwateue. Kitendo cha karibia mkoa mzima wa Kigoma kuwapelekea wanajeshi kuwaongoza pia...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ