nyang'hwale

Nyang'hwale District is one of the five districts of Geita Region of Tanzania. Its administrative centre is the village Kharumwa.
It is bordered to the north by Sengerema District, to the east by Misungwi District and Shinyanga Rural District, to the south by Kahama Rural District, and to the west by Geita District.
As of 2022, the population of Nyang'hwale was 225,803. Nyang'hwale was established in 2012, when it was split off from Geita District and became part of the newly established Geita Region.

View More On Wikipedia.org
  1. upupu255

    Pre GE2025 Mwenyekiti UVCCM, Geita: Boda boda Nyang'hwale msijihusishe na shughuli za kiuhalifu

    Maafisa Usafirishaji (Bodaboda) wilayani Nyangh'wale Mkoani Geita wameaswa kutojiusisha na Vitendo vinavyoweza kupelekea kuvunja amani sambamba na kutojihusisha na Shughuli za kiuhalifu . Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread...
  2. Mindyou

    LGE2024 Geita: Katibu wa CCM mkoa ajihakikishia ushindi kwenye Wilaya ya Nyang'hwale

    Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoani Geita kimeonyesha kujiamini kushinda Vijiji na Vitongoji vyote Wilayani Nyang’hwale baada ya Vijiji 39 kukosa wapinzani, huku vyama vya Upinzani vikifanikiwa kusimamisha Wagombea katika vijiji 23 pekee. Kwa upande wa vitongoji, CCM imepita bila kupingwa katika...
  3. shuka chini

    KERO Wilaya ya Nyang'hwale mkoa wa Geita hela za likizo za walimu mbona kimya?

    Habarini wadau. Naongea kwa masikitiko makubwa hela za likizo mpaka sasa wilaya nyang'hwale mkoa wa geita mambo ni kimya . Hivi nyie maafsa mnaohusika mbona hamna huruma jamani tumefunga tunaingia wiki ya pili lakini mpaka muda huu mmekaa kimya tukifatilia mnadanganya eti mtandao unasumbua...
Back
Top Bottom