nyaya

Nyāya (Sanskrit: न्याय, nyā-yá), literally meaning "justice", "rules", "method" or "judgment", is one of the six astika schools of Indian philosophy. This school's most significant contributions to Indian philosophy were systematic development of the theory of logic, methodology, and its treatises on epistemology. Ancient Mithila University was famous for Nyaya Shastra teaching.
Nyaya school's epistemology accepts four out of six Pramanas as reliable means of gaining knowledge – Pratyakṣa (perception), Anumāṇa (inference), Upamāṇa (comparison and analogy) and Śabda (word, testimony of past or present reliable experts). In its metaphysics, Nyaya school is closer to the Vaisheshika school of Hinduism than others. It holds that human suffering results from mistakes/defects produced by activity under wrong knowledge (notions and ignorance). Moksha (liberation), it states, is gained through right knowledge. This premise led Nyaya to concern itself with epistemology, that is the reliable means to gain correct knowledge and to remove wrong notions. False knowledge is not merely ignorance to Naiyyayikas, it includes delusion. Correct knowledge is discovering and overcoming one's delusions, and understanding true nature of soul, self and reality.Naiyyayika scholars approached philosophy as a form of direct realism, stating that anything that really exists is in principle humanly knowable. To them, correct knowledge and understanding is different from simple, reflexive cognition; it requires Anuvyavasaya (अनुव्यवसाय, cross-examination of cognition, reflective cognition of what one thinks one knows). An influential collection of texts on logic and reason is the Nyāya Sūtras, attributed to Aksapada Gautama, variously estimated to have been composed between 6th-century BCE and 2nd-century CE.Nyaya school shares some of its methodology and human suffering foundations with Buddhism; however, a key difference between the two is that Buddhism believes that there is neither a soul nor self; Nyaya school like other schools of Hinduism believes that there is a soul and self, with liberation (moksha) as a state of removal of ignorance, wrong knowledge, the gain of correct knowledge and unimpeded continuation of self.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    Vodacom, ZICTIA Zaungana Kukuza Matumizi ya Kidijitali Zanzibar Kupitia Nyaya za Chini ya Bahari

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Zanzibar (ZICTIA), Shukuru Awadhi Suleiman (kushoto) na Mkurugenzi wa Mtandao wa Vodacom Tanzania Plc Andrew Lupembe, aliyemwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, wakisaini nyaraka za makubaliano ya ushirikiano lenye lengo la kuboresha huduma...
  2. SAYVILLE

    Usalama wa nyumba zilizozungushiwa nyaya za umeme za ulinzi au electric fence

    Nyumba zilizozungushiwa nyaya za umeme za ulinzi au electric fence zinaonyesha ziko salama sana maana zinadili na njia kuu ya wizi au ujambazi kufanyika. Mara nyingi huduma hii inaambatana na uwepo wa cameras ili kuongeza zaidi ulinzi. Umewahi kusikia uvamizi umefanyika katika nyumba zenye...
  3. The Watchman

    MBEYA: Je, TANESCO na REA mmeishiwa nguzo mpaka mnafunga nyaya za kusambazia umeme kama kamba za kuanikia nguo?

    Hapa ni kitongoji cha Hasengo, kijiji cha Shibolya wilaya ya Mbeya vijijini mkoani Mbeya, Ni jambo jema na tunashukuru huduma ya umeme imetufikia kupitia wakala wa kusambaza umeme vijijini REA, baada ya kutokuwepo kwa huduma hiyo muhimu tangu kupata uhuru wa nchi hii. Bila shaka usambazaji wa...
  4. Roving Journalist

    Rufiji: Wawili wakamatwa na Shehena ya Kopa Tani 7.7 waya za kopa Kilo 2,628.5 7.7 za TRC na TANESCO

    Baada ya kutoa taarifa Desemba 12, 2024 ya kukamatwa kwa watuhumiwa wawili wenye asili ya Asia katika operesheni iliyofanyika katika Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Kipolisi Rufiji wakiwa na nyaya za copper ambazo zilitambuliwa kuhujumiwa kutoka miundombinu ya TANESCO na Shirika la Reli Tanzania...
  5. Megalodon

    Kwa haya ya Baltazar, kuna nyaya kwenye maisha hupaswi kuzikanyaga na pia privacy kwenye mambo ya familia ni muhimu

    Unaweza kudhani ni kweli kabisa Mzee Baltazar alisafisha kweli wanawake 400; dunia ya sasa imekuwa ni mazombi, just play with social media. they believe everything from the social media without critical analysis, cha ajabu hata vyombo vya habari now days vimekuwa useless, wapo busy na nani...
  6. 5523

    Netanyahu amekanyaga nyaya za umeme?

    Kwa mujibu wa mtandao wa X hapo juzi Israel ilishambulio Syria kwenye base ya Russia na kusababisha madhara makubwa, Balozi wa russia nchini Israel amewataka raia wa Urusi wanaoishi Israel kuondoka, inatajwa kuwa 20% ya population ya Israel ni raia wa Urusi ambao wapo hapo kwa shughuli mbali...
  7. Roving Journalist

    Adeline Lyakurwa: Ndege alinasa kwenye nyaya za umeme, mafundi wamerekebisha, umeme umerejea Bariadi (Simiyu)

    Baada ya Mwanachama wa JamiiForums.com aliyejitambulisha kuwa anatokea Wilaya ya Bariadi, Kijiji cha Mwasinasi kulalamika kuwa kuna kero ya kukatwa Umeme bila taarifa na shida hiyo imekuwa ikijirudia tangu wakati kuna Mgawo wa Umeme, ufafanuzi umetolewa na imeelezwa changamoto hiyo imetatuliwa...
  8. Yoda

    DOKEZO Serikali, ni sawa wamachinga kufanya biashara chini ya nyaya za umeme Karume?

    Kila nikipita hapa soko la Karume huwa nashangaa sana jinsi kundi kubwa la wamachinga wanavyofanya biashara zao chini ya nyaya kubwa za umeme bila hofu yoyote, sehemu nyingi ambapo naona kuna nyaya za umeme mkubwa raia huwa wanasogezwa mbali kabisa, kwa nini hapa Karume hali ni tofauti...
  9. E

    Nahitaji magunia ya bamia na Nyanyachungu Dar es Salaam

    Habari za majukumu, Kama kuna mkulima au mwenye anajua zinapatikana BAMIA na nyanya chungu naomba connection, ikiwa karibu na Dar itakuwa vizuri zaidi au hata nje ya Dar. Nahitaji gunia kuanzia 5 na zaidi kila baada ya siku 2. 0658644485 kwa mawasiliano zaidi
  10. ndege JOHN

    Zifahamu nyaya za baharini na mtandao wake katika mabara

    Kebo za chini ya bahari, pia hujulikana kama nyaya za mawasiliano za chini ya bahari, ni nyaya za nyuzi-optic zinazowekwa kwenye sakafu ya bahari na zinazotumiwa kusambaza data kati ya mabara. Kebo hizi ndizo uti wa mgongo wa mtandao wa kimataifa, unaobeba wingi wa mawasiliano ya kimataifa...
  11. KJ07

    Afariki akijaribu kuiba nyaya za umeme

    #HABARI Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Adamu Assan (30) mkazi wa Mafichoni Kiteto amepoteza maisha kwa kupigwa na shoti ya umeme akidaiwa kuwa alikuwa anaiba nyaya za umeme. Marehemu amekutwa chini ya nguzo za umeme zilizobeba transfoma leo April 06. 2024 eneo la Mnadani Partimbo huku...
  12. Mhaya

    Mtandao wa facebook na Instagram haupatikani

    Mtandao wa facebook umeshindwa kufanya kazi mida hii na kupelekea Watu kushindwa ku-login Mimi binafsi nimetumia Facebook lite imekataa nikatumia Google chrome nayo imekataa
  13. Webabu

    Je, Houth ndiyo waliokata nyaya tatu za intaneti chini ya bahari ya Red Sea?

    Kuharibika kwa nyaya tatu za intaneti za chini ya bahari kumetajwa kuathiri karibu robo ya data za intaneti kwa maeneo ya mashariki ya kati,Ulaya na maeneo ya Asia. Kukatika kwa nyaya hizo kumepelekea kizaazaa kwa wasambazaji data hizo ambapo wamelazimika kuzichepusha njia karibu robo ya data...
  14. BARD AI

    Mashahidi 10 kupanda Kizimbani kesi ya kukata Nyaya za Umeme Kariakoo

    Mashahidi 10 na vielelezo nane vinatarajia kutolewa katika kesi ya kukata nyaya za umeme katika Soko Kuu la Kariakoo lililopo jijini Dar es Salaam na kusababisha hasara ya Sh316 milioni, inayowakabili wafanyabiashara watatu wakazi wa Mbagala na Tandika. Washtakiwa katika kesi hiyo ni Erick...
  15. BARD AI

    Wapandishwa Kizimbani kwa kukata Nyaya za Umeme za Tsh. Bilioni 2.3

    Mfanyabiashara Amos Lusekelo na mwenzake Mohamed Mbonde wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka mawili likiwemo la kuisababishia hasara Shirika la Umeme (Tanesco) ya Sh2.3 bilioni. Lusekelo ambaye ni mkazi wa Sinza na Mbonde, wamefikishwa mahakamani hapo...
Back
Top Bottom