nyegezi

St. Augustine University of Tanzania (SAUT) is a private university in Mwanza, Tanzania. It was founded by the Catholic Bishops of Tanzania in 1998 (accredited in 2002) as a secular, nonprofit, private institution. Before 1998, SAUT was called first Nyegezi Social Training Centre and then Nyegezi Social Training Institute. SAUT has over 10,000 students with an anticipated minimal rise each new academic year. The university attracts students from Tanzania and elsewhere, particularly Kenya, Uganda, Sudan, Ethiopia, Burundi, Malawi, Zambia, and recently Germany and other foreign nations. SAUT admits students of all nationalities and religious affiliations.

SAUT extends over 600 acres (2.4 km2) in the Nyegezi-Malimbe area, 10 km (6.2 mi) south of Mwanza on the shores of Lake Victoria. The university is divided into two campuses. The main campus (old campus) houses the administration buildings and the Faculty of Business Administration. The Malimbe campus, located one km away, is home to the Faculty of Law, Social Sciences, Engineering, Business Administration, Education and Mass Communication.

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    MWAUWASA: Tunafahamu changamoto ya Maji katika baadhi ya maeneo Nyegezi, tunaifanyia kazi

    Kufuatia andiko la Mwanachama wa JamiiForums.com kuhusu huduma ya maji katika baadhi ya maeneo ya Nyegezi Jijini Mwanza kudaiwa kuwa ni duni, kisha kuitaka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) ijitafakari kwa kuwa inawakwamisha Wananchi wengi wa maeneo hayo, Mamlaka hiyo...
  2. T

    Stendi ya Mabasi Nyegezi na Nyamuhongolo (Mwanza) Vyumba vingi vya Biashara vipo tupu kutokana na uendeshaji mbovu

    Stendi ya Nyegezi ni ya pili kwa ukubwa hapa Mwanza baada ya ile ya Nyamohongolo, wakati wa ujenzi wake ilielezwa kuwa zaidi ya Sh. Bilioni 15 zilitumika kwa mradi huo ikiwemo maegesho ya mabasi, magari madogo, vyumba maalumu za abiria na chumba cha Wanawake wanaohitaji kunyonyesha watoto...
  3. Torra Siabba

    KERO Taka zinazagaa ovyo Mtaa wa Nyabulogoya, Nyegezi (Mwanza), kifaa cha kutupia taka nacho ni taka

    Sisi Wananchi wa Mtaa wa Nyabulogoya, Kata ya Nyegezi tuna changamoto ya kukosekana kwa chombo imara cha kuweka taka katika maeneo yetu licha ya kuwa tumekuwa tukitoa taarifa kwa Mamlaka zinazohusika juu ya hali hiyo. Kifaa kilichopo kimechoka na hakifai, hata chenyewe ni sehemu ya takataka pia...
  4. GedsellianTz

    Traffic lights zilizopo Nyegezi kona ni kero kwa wanainchi

    Wanajamvi salama... Tatizo la traffic 🚦 lights zilizowekwa barabarani pale NYEGEZI Kona ni KERO sana na ipo siku kutatokea ajali kubwa sana maeneo Yale. Sijajua evaluation na vigezo walivyotumia wanaojiita wataalamu kuweka mataa eneo lile kwani ndio kumekua na msongamano mkubwa wa magari, kila...
  5. A

    KERO Makondakta Stendi Kuu Nyegezi wanavamia abiria na kusababisha upotevu wa mali zao

    Habari, Utaratibu wa Makondakta katika stend kuu ya Nyegezi si mzuri hata kidogo. Makonda wanawavamia abiria hivyo kupelekea kupoteza baadhi ya vitu kama simu NK. Asubuhi nimeshuhudia abiria kaibiwa simu katika virugu hizi. Naona nisaidie kuripoti Hilo. Ni kero.
  6. S

    Kuelekea AFCON 2027, JWTZ mna eneo zuri pale Nyegezi kona mnaweza kujenga uwanja mzuri wa mpira

    Pongezi kwenu JWTZ kuwa na maeneo mengi makubwa hapa Tanzania. Maeneo mengi yapo strategically kama mtayatumia kama fursa ya kukuza uchumi wa Jeshi letu la wananchi. Pale Nyegezi kona katikati ya jiji la Mwanza mna kiwanja local ambacho huwa mashindano mbalimbali ya michezo huwa yanafanyika...
Back
Top Bottom