nyerere kukiuka haki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MSAGA SUMU

    Shida ya Lissu na Nyerere ni nini hasa?

    Ukimpatia Lissu saa moja atatumia dk 45 kumdiss Mwalimu Nyerere kwa maneno makali kadri atakavyoweza. Alipoulizwa na Chief Odemba kwa maoni yake kuwa ipi ilikuwa awamu iliyoongoza kwa ukiukwaji wa haki za binadamu, bila kumumunya maneno alidai ni awamu ya kwanza. Kwa mtazamo wa Lissu, Nyerere...
Back
Top Bottom