nyimbo za dini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Damaso

    Waimbaji wa Nyimbo za Dini za Zamani Walikuwa na Ujumbe Zaidi Kuliko Sasa

    Muziki wa injili umekuwa sehemu muhimu ya utamaduni wa Tanzania kwa miongo kadhaa. Hata hivyo, wengi wamekuwa wakilinganisha nyimbo za injili za zamani na za sasa, huku wakidai kuwa nyimbo za zamani zilikuwa na ujumbe wenye nguvu zaidi na wa kina kuliko hizi za sasa. Je, madai haya yana...
  2. Uwesutanzania

    Watu wa nyimbo za dini mkuje mnisaidie jina la huu wimbo

    Nimetafuta kwa youtube shida zinakuja nyingi. Nimejalibu kuuimba hapo mnaweza nisaidia kupitia hiyo sauti hapo chini. Wimbo Bwana ndie mchungaji wangu mimi Sitapungukiwa na kitu katika maisha yangu Wandameza mbele yangu bwana machoni pa watesi wangu umenipaka mafuta bwana.
  3. Tech Africa

    Nani anafahamu wapi naweza pata Cassette Tape za kwaya za zamani?

    Habari wanajamii, natafuta Cassette tape au Kanda za kwaya za zamani kama: 1. Tumaini Shangilieni kwaya - Arusha 2. Barabara ya 13 - Uliyankulu 3. Mtoni Evangelical choir - Lulu 4. Kwaya ya Patandi 5. Vijana Mabibo Lutheran - Mzabibu Nitashukuru sana kwa yeyote atakayeweza kunifanikisha kupata...
Back
Top Bottom