nyimbo za zamani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. SubTopic

    Je, kwanini vilabu vingi vya pombe za kienyeji hupenda kupiga nyimbo za zamani hasa zenye asili ya Kongo?

    Ni Kama utamaduni vile katika vilabu vya pombe za kienyeji utakuta nyimbo nyingi Kama siyo zote huwa Ni zile za ki Kongo Tena za zamani Sana zile za kina Pepe kale, Kanda bongoman n.k hii Ina uhusiano gani na vilabu vya pombe za kienyeji? Maana karibu maeneo yote yenye hivyo vilabu nyimbo Ni...
  2. B

    Hebu niambie haya maneno yako kwenye wimbo gani wa Bongo Fleva

    Kuna Maneno matamu sana kwenye huu wimbo. Ni wimbo wa mapenzi unaomsifia Mwanamke Mzuri mwenyenmaisha mazuri sana kwao. Ktk Verse ya Mwimbaji anasema hivi. ".......Kwao kila kitu stock, Beef Cow Kitimoto Pork......"
  3. Mshangazi dot com

    Nyimbo gani ya zamani ujumbe wake inabidi uwafikie vijana wa sasa?

    Starehe - Ferooz & Prof J “Starehe mnazipenda ila mwisho wake mbaya, wengi wameteketea kwa kuendekeza umalay**a , vipimo vinaonyesha ni kweli umeathirika, I am very sorry kupoteza nguvu ya Taifa” Asante min -me kwa kunikumbusha hii ngoma jana.
  4. TheForgotten Genious

    Nyimbo Za zamani zilikuwa na ujumbe wenye kuelimisha,zitumike kufundishia hawa vijana,mfano hii hapa INACHOMA ya 20%.

    Oh na na naaaaa! Eyaaaah INACHOMA 1. Nimeajiriwa kwenye Ajira niliyojiajiriii, Na ninasifiwa utendaji Wangu wa kazi ni nzuri, Navumilia huenda nitapata kivuli, Nitapata kivuli imeshakata miaka miwiliii, Ndimu na ugali,maisha Makali,elimu iko mbaliii, Lile jasho la halali,mpaka kabaliiii, Bosi...
  5. NostradamusEstrademe

    Tukumbushane miziki ya zamani ya ki Congo na bendi waliopiga na wimbo unakukumbusha nini na mwaka gani

    Nouvelle generation---------Lipua lipua nilikuwa std4 mwaka 1975 Engunduka ---verkys stds 5 Mandalala-Grand piza Ayidjo--Kamale Masua-Les Kamale Abisina-Les Kamale Ndukidi--Lipualipua Maswa --lipua lipua Ya Nini -----Verkys std 4 1975 Kalala--Verkys Mombassa----Lipua Lipua Lukani----Lipua lipua...
  6. Uwesutanzania

    Kuna aina moja ya nyimbo za zamani nazitafuta

    Ilikuwa nikizisikiliza zamani mwenye redio free Afrika (RFA) Au redio Tanzania daresalaam (RTD) Ni nyimbo flani hivi msanii anaimba ila ni kama anaongea story flani hivi za masikitiko. Mara anataja SHAMBA mara sijui TOKA EE Ni aina fulani hivi za nyimbo nikama msanii analalamika hivi. Yaani...
  7. Unique Flower

    Nyimbo za zamani za mapenzi

    https://youtu.be/lAXIQChY8ek?si=0xWTkU2Pigyeqezs Unakula nini ili nami nifurahi https://youtu.be/8-Sjs6RBp1c?si=4_5IpGl_vsk7Dh9P Nipigie https://youtu.be/kUf3HL9SZa0?si=hWIYUzA71H2dfkvq Kwa ajili yako https://youtu.be/8eyAeqkV2gg?si=qf6VNcnWsnBkLhqz Pipi je na wewe ulipenda zipi??
  8. DR HAYA LAND

    Naomba wataalamu wa Nyimbo za zamani mnitajie list, nataka nimuekee nyimbo Mzee wangu kwenye Flash

    Wadau wa nyimbo za zamani zile Kali Kali Naomba mniandikie hapa chini nataka kumchukilia mzee wangu Flash then nimuwekee nyimbo . Pia na za ki-congo na hata za kizungu za miaka ya zamani zile nzuri.
  9. N

    Kwanini Nyimbo za Zamani huwa zinapendwa na kupendeza sana kwenye vilabu vya pombe za kienyeji?!!!

    eid mubarak!! Hii kitu nimeiona kwenye miji kadhaa niliyowahi kuishi hapa nchini..... Ukitembelea sehemu zinazopatikana pombe za kienyeji (gongo, wanzuki, chimpumu, mnazi n.k) basi burudani yao kubwa ni hz nyimbo za zamani..... Ddc mlimani park Sikinde Msondo ngoma n.k Hizi ni nyimbo zenye...
  10. Bujibuji Simba Nyamaume

    Kwanini TBC wasifungue YouTube channel waweke nyimbo za zamani?

    Radio Tanzania/ TBC FM wao ndio Wana archive kubwa kabisa ya nyimbo za zamani, kwani bendi zote za muziki, vikundi vya taarab na kwaya vilirekodi kwenye studio za RTD. Kuna nyimbo nyingi sana hazipatikani YouTube wala sehemu yoyote Ile, hivyo Basi wapenzi wa muziki ya kwetu hatuna pa kulipata...
  11. Secret Star

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Huu ni uzi maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.
Back
Top Bottom