Historia kamilifu ya Marehemu Brig Nyirenda.
Mwalimu Julius Nyerere alisema, Meja Alex Nyirenda akatenda. Mpira ukarudi tena kwa Nyerere ambaye safari hii alifanya kweli kuhakikisha kwamba Afrika nzima inakuwa huru kabla ya kufariki kwake Oktoba 14, 1999.
Lakini Mwalimu alisema nini...