Bali Nyonga is a town in the Northwest Region of the country Cameroon on the West Central borders on the continent of Africa. It is the home of the Bali Nyonga, a people of the Chamba Leko group - an entity that migrated from Chamba around 1600. Their language is known as mungaka.
Mtaakam bingwa wa upasuaji wa nyonga na magoti kutoka hospitali ya Qeen Elizabeth ya Uingereza Profesa Mamoun AbdelGadir, amewasili jijini Dar es Salaam kwaajili ya kambi ya matibabu ya siku tano kwa watanzania.
Daktari huyo kwa kushirikiana na wataalamu wa ndani atafanya upasuaji huo kwenye...
TAASISI ya Tiba ya Mifupa, Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu Muhimbili (MOI) kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Oxford cha Uingereza, imefanya upasuaji wa nyonga na magoti kwa wagonjwa 20, wakiwamo nane wa marudio.
Wakati hayo yakifanyika, taasisi hiyo imesema kuna ongezeko la tatizo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.