nyongeza ya mshahara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nyongeza ya Mshahara (Annual Increments)

    Kuna tetesi kwamba Nyongeza ya Mshahara (Annual Increments), itafanyika kwa kila mlengwa kwa kuzingatia mwezi wa ajira ya mwajiriwa....Kwa mfano kama uliajiriwa mwezi wa tano, basi Nyongeza hiyo utahusika nayo mwezi husika na sio kwa kuzingatia mwaka wa fedha wa serikali,kama ilivyozoeleka. -Hii...
  2. M

    Mwaka huu 2024 hakuna nyongeza ya Mshahara?

    Juzi mishahara ya Watumishi wa Umma ilitoka ikiwa haina nyongeza hata chembe. Je, ina maana mwaka huu pia hakuna pekeji' mbona kazi!?
  3. M

    Hatuwezi kuunga mkono jambo la nyongeza ya mshahara

    1. Watumishi wote wa Umma wanatakiwa kupata Increment kila ifikapo tarehe 1, ya mwezi July kila mwaka. Kwa nini hawajapata hiyo Increment wakati Budget ilipangwa na kupitishwa Bungeni? Hizo fedha za Increment za mwezi huu amechukua nani na kwa misingi gani? Tunataka majibu ya haraka na yenye...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…