nyuma mwiko

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. kipara kipya

    Kama nyuma mwiko na singida zote zingepigwa tungepoteza mtu baraza la mawaziri nusura nyuma mwiko kupata sare!

    Muda huu kungekuwa na msiba mzito kwenye baraza la mawaziri kama nyuma mwiko angefungwa, Naona wanajeshi bado wana mishahara yao wamegomea bahasha na kocha wala hana shobo na nyuma mwiko.....aibu kwa refa aliyepokea bahasha amejitahidi kuongeza dk zake lakini la kuvunda halina ubani refa apewe...
  2. kipara kipya

    Kuna nini nyuma mwiko wameumia mioyo sana na matokeo kuliko Tabora wenyewe?

    Haya matokeo ya simba kumfunga Tabora nyuma mwiko wanagugumia na kupata magonjwa ya tumbo kuna nini zaidi.....
  3. kipara kipya

    Tetesi: Side mnyamwezi awashauri vigogo wa timu nyuma mwiko kuhamia ligi ya south Africa baada ya kugundua NBC ligi ni dhaifu!

    Kocha mkuu side mnyamwezi ameushauri uongozi wa klabu ya gongowazi kuhamia south huko atapambana na timu ngumu kama mamelodi ,kaizer chief,Gallaxy na nyinginezo.....hivyo akipangwa tena makundi anapita moja kwa moja maana ligi ya NBC ni dhaifu yanga haiwezi kucheza robo kama itabaki ligi ya...
  4. Shanily

    Jamaa wa "nyuma mwiko" mnataka nini haswa?

    Naskia jamaa wa nyuma mwiko wanahamisha makao , haya ndo madhara ya kuwa na fikra za kishirikina , Kila muda unahisi unarogwa tu na kufitiniwa. Tabia za nyuma mwiko ni kama nyuki, Kila siku wanahama tu. Viwanja vyote vilivyopo Tanzania hii mpaka muhamie KMC!?. Kama sio choko choko ni nini...
  5. gonamwitu

    WANAMSIMBAZI hiki ndio kikosi changu cha ushindi dhidi ya nyuma mwiko

    Kama kocha atapanga kikosi kifuatacho leo mapema nyuma mwiko na msemaje wao ashura mayutiai wanapasuka mapema. Mfumo ni 4~2~3~1. 1. Musa camara 2. Shomari kapombe 3. Mohamedi hussen 4. che malone fondoh 5. Abdulrazaki hamza 6. Yusuph kagoma 7. Edwin balua 8. Debora fernandez 9. Leonel ateba...
Back
Top Bottom