Imani za watu, huvunjika na kupotea baada ya kupatwa na mtihani wa mauti.
Hapo hata wapendwa, mashehk, mapadri, wachungaji hulia kwa huzuni ya kuondokewa na mpendwa wake.
Ni ngumu kukabiliana na tukio la kuondokewa au kufiwa, lakini je Mungu ana kusudi gani juu ya Kifo?.
Kwa kuwa kila mtu ana...