Nikiwa shule ya msingi kuna mwalimu mmoja alikuwa anaitwa AGNESS, huyu alikuwa mjaluo kutoka huko mkoani Mara, kiukweli alikuwa mzuri wa sura na umbo, huyu mwalimu sitokuja kumsahau hadi naingia kaburini kwasababu alikuwa kisu kwelikweli, kwa leo ndiyo wanaitwa "PISI KALI".
Huyu mwalimu kuna...