Kwa waliowahi kuishi au wenyeji wa Mtwara ni maeneno gani ambayo ukienda unaona kweli hapa ni ushuani kuna mijengo mikali mikali au sehemu ambazo kuna vyumba vizuri vya kupanga?
Maana daah kuna mitaa nimepita kutafuta vyumba mpaka nimevunjika moyo kuhusu kuishi huu mkoa, vyumba havina...
Nyumba inauzwa Goba Tegeta "A"
Eneo lina SQM 450
Nyumba ipo sehemu nzuri sana(majirani✅
Nyumba ina fence ya umeme
Nyumba ina paving
Nyumba ina umeme na maji
Nyumba ina vyumba vitatu viwili vina choo
Choo cha public
Jiko limekamilika full makabati
Sebule kubwa
Dinning kubwa
Baraza mbili mbele na...
Hii ni kwa tathmini yangu Mimi kama nitakuwa siko sawia mnisamehe.
Unakosaje kumiliki gari na nyumba huku una miaka zaidi ya 5 kwenye utumishi wa umma?
Jitahidi mtumishi mwakani uachane na Daladala kama wanafunzi. Daladala waachie wanafunzi na machinga
nyumba inauzwa ipo mwembe mtengu tuongomb-kigamboni
ina vyumba 3
Vyumba viwili (bedroom)na publi toilet
main room[master room 1]na choo chake
Dining room
jiko
sebule
pia banda lake la nje
lina chumba 1 na public toilet
sebule n jiko
ina ukubwa eneo qm 900
ina maji safi kbsa
ni Km 1.9 kutoka...
Kwa wengine ni kama mwiko kuwajengea wakwe nyumba.
Lakini mimi sioni kama kuna ubaya wo wote ule kufanya hivyo, hasa kama hali ya kifedha inaruhusu. Kutaonekana na kasoro tu ikiwa utawajengea wakwe huku wazazi wako wa kukuzaa hujawatendea hilo.
Kimsingi, wakwe zako ni wazazi wako, na wa kwako...
NYUMBA NZURI YA KISASA INAUZWA BEI YA KUTUPWA. INA HATI MILIKI. IPO KIGAMBONI MWEMBE MTENGU. BEI NI MILION 160 TU 0744993715
SIFA YA NYUMBA.
Vyumba vinne vya kulala kimojawapo ni Master kubwa sana yenye makabati, jacuzzi AC, Dinning, Sebule kubwa, Jiko zuri lenye Makabati, Stoo & Choo/Bafu vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.