nyumba nzuri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Bosspraise

    Nyumba nzuri ya kisasa inauzwa Madale Flamingo

    Modern house for sale Madale flamingo 3 bedrooms house Area sqm. 600 Price 170 millions tsh Tittle deed availble 0742 892 195
  2. Crocodiletooth

    Nyumba nzuri sana, ambazo ujenzi wake hutumia kontena

    Ni nyumba nzuri zinazoweza kujengwa popote pale, lakini zinapendeza zaidi zikijengwa katika mazingira pembeni mwa Miji bushes.
  3. B

    MTWARA:Mtaa gani una nyumba nzuri?

    Kwa waliowahi kuishi au wenyeji wa Mtwara ni maeneno gani ambayo ukienda unaona kweli hapa ni ushuani kuna mijengo mikali mikali au sehemu ambazo kuna vyumba vizuri vya kupanga? Maana daah kuna mitaa nimepita kutafuta vyumba mpaka nimevunjika moyo kuhusu kuishi huu mkoa, vyumba havina...
  4. Ochoa Real Estate

    House4Sale Nyumba inauzwa Goba Tegeta "A" milioni 135 tu!

    Nyumba inauzwa Goba Tegeta "A" Eneo lina SQM 450 Nyumba ipo sehemu nzuri sana(majirani✅ Nyumba ina fence ya umeme Nyumba ina paving Nyumba ina umeme na maji Nyumba ina vyumba vitatu viwili vina choo Choo cha public Jiko limekamilika full makabati Sebule kubwa Dinning kubwa Baraza mbili mbele na...
  5. Mwamuzi wa Tanzania

    Mtumishi wa umma kutokuwa na gari na nyumba nzuri ni ujinga wake binafsi

    Hii ni kwa tathmini yangu Mimi kama nitakuwa siko sawia mnisamehe. Unakosaje kumiliki gari na nyumba huku una miaka zaidi ya 5 kwenye utumishi wa umma? Jitahidi mtumishi mwakani uachane na Daladala kama wanafunzi. Daladala waachie wanafunzi na machinga
  6. W

    House4Sale Nyumba inauzwa ipo Toangoma Kigamboni

    nyumba inauzwa ipo mwembe mtengu tuongomb-kigamboni ina vyumba 3 Vyumba viwili (bedroom)na publi toilet main room[master room 1]na choo chake Dining room jiko sebule pia banda lake la nje lina chumba 1 na public toilet sebule n jiko ina ukubwa eneo qm 900 ina maji safi kbsa ni Km 1.9 kutoka...
  7. GoldDhahabu

    Utawajengea wakwe zako nyumba?

    Kwa wengine ni kama mwiko kuwajengea wakwe nyumba. Lakini mimi sioni kama kuna ubaya wo wote ule kufanya hivyo, hasa kama hali ya kifedha inaruhusu. Kutaonekana na kasoro tu ikiwa utawajengea wakwe huku wazazi wako wa kukuzaa hujawatendea hilo. Kimsingi, wakwe zako ni wazazi wako, na wa kwako...
  8. Prof Kibogoyo

    House4Sale Nyumba nzuri ya kisasa inauzwa bei ya kutupwa

    NYUMBA NZURI YA KISASA INAUZWA BEI YA KUTUPWA. INA HATI MILIKI. IPO KIGAMBONI MWEMBE MTENGU. BEI NI MILION 160 TU 0744993715 SIFA YA NYUMBA. Vyumba vinne vya kulala kimojawapo ni Master kubwa sana yenye makabati, jacuzzi AC, Dinning, Sebule kubwa, Jiko zuri lenye Makabati, Stoo & Choo/Bafu vya...
Back
Top Bottom