nyumba za kupanga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. chizcom

    Kuna tabia nyumba za kupanga wapangaji wa kike kukaa karibu na njia ya kwenda chooni

    Nyumba nyingi za uswahilini ujenzi wake mkubwa vyoo huwa uwani(nyuma ya nyumba).Lakini wapangaji wengi ugeuza sehemu kubwa ya kupumzikia. Kama wapangaji wengine ushindwa kujiachia chooni kupiga matalumbeta na kufanya wengi tuwe na bawasiri tusizo zitegemea sababu ya kujibana tusitoe milio ya...
  2. Masoud06

    Je! watanzania wako tayari kupokea mabadiliko ya kutafuta nyumba za kupanga kupitia Webs au Apps zilizosajiliwa kisheria zinazowaondoa madalali ?

    Je! watanzania wako tayari kupokea mabadiliko ya kutafuta nyumba za kupanga kupitia Webs au Apps zilizosajiliwa kisheria zinazowaondoa madalali ?
  3. chizcom

    Madalali ndio chanzo cha mifumuko ya bei kila sekta hususani nyumba za kupanga

    Katika watu nawachukia ni madalali hata ukiwa na mali yako wanataka kupandisha kiasi kikubwa kupelekea hata kukosa wateja kwa wakati. Tuje kwenye suala la nyumba za kupangisha: Madalali wengi ni watu wa ajabu yani sehemu inaweza kuwa biashara hakuna ilo eneo, we ukaamua kufanya biashara na watu...
  4. Paul dybala

    Nyumba ninayoishi inasemwa kuwa ina mauzauza sana lakini sijawahi kuyaona

    Wakuu nyumba ninayo ishi(nimepanga),kiukweli nyumba hii inasemwa vibaya sana na watu mtaani,..inasemwa kuwa ina mauzauza sana. Watu huniuliza sana ninaishije mahali hapa,..hata mwenyeji nikimuelekeza ninaishi nyumba flani hunishangaa sana,...kiasi mimi nina miaka mitatu lakini sijawahi kuona...
  5. Mbwa dume

    Jamaa kaingizwa chaka na dalali kwenye nyumba ya kupanga

    Kuna bwana mdogo mtoto wa jirani yangu tulikuwa naye hapa Dom alimaliza chuo akakosa ajira ikabidi aje tupige naye mishe za kuuza majeneza angalau apate japo pesa ya kula na tumekuwa naye hapa for almost one year Sasa week iliyopita amebahatika kupata ajira kwenye taasisi moja binafsi Dar...
  6. DalaliBinamu

    House4Rent Nyumba inapangishwa Dar es Salaam

    INAPANGISHWA NYUMBA VYUMBA 2 SEBULE JIKO NA CHOO NDANI. MAHALI kawe KODI TSHS 200,000 CALL - 0716442950
  7. LA7

    Uliwezaje kukaa kwenye geto mkiwa zaidi ya mmoja. Vipi kuhusu mademu.

    Mimi ninachokumbuka ni mshikaji kuleta demu na demu kulala wote usingizi haukuja huku mm nikiwa bado sijawahi fanya hayo mambo.
  8. sam green

    Mpangaji mwenzangu amekuwa na tabia ya kunijali sana kama mimi ndio mume wake vile

    𝘏𝘢𝘣𝘢𝘳𝘪 𝘻𝘦𝘯𝘶, 𝘸𝘢𝘱𝘦𝘯𝘥𝘸𝘢, 𝘔𝘪𝘮𝘪 𝘯𝘪 𝘬𝘪𝘫𝘢𝘯𝘢 𝘢𝘨𝘦 26. 𝘕𝘪𝘮𝘦𝘱𝘢𝘯𝘨𝘢 𝘴𝘦𝘩𝘦𝘮𝘶 𝘧𝘭𝘢𝘯 𝘵𝘶𝘱𝘰 𝘸𝘢𝘱𝘢𝘯𝘨𝘢𝘫𝘪 𝘬𝘢𝘥𝘩𝘢𝘢, 𝘸𝘰𝘵𝘦 𝘩𝘢𝘸𝘢𝘫𝘢𝘰𝘭𝘦𝘸𝘢 𝘯𝘢 𝘩𝘢𝘬𝘶𝘯𝘢 𝘢𝘭𝘪𝘺𝘦𝘰𝘸𝘢 𝘛𝘶𝘱𝘰 𝘸𝘢𝘯𝘢𝘶𝘮𝘦 𝘸𝘢𝘸𝘪𝘭𝘪 𝘯𝘢 𝘸𝘢𝘯𝘢𝘸𝘢𝘬𝘦 𝘸𝘢 3 𝘪𝘭𝘢 𝘸𝘰𝘵𝘦 𝘮𝘢 𝘴𝘪𝘯𝘨𝘭𝘦 𝘮𝘰𝘵𝘩𝘦𝘳, 𝘩𝘢𝘬𝘶𝘯𝘢 𝘢𝘭𝘪𝘺𝘦 𝘰𝘭𝘦𝘸𝘢, 𝘚𝘢𝘸𝘢𝘭𝘢 𝘭𝘪𝘯𝘢𝘬𝘶𝘫𝘢 𝘩𝘪𝘷𝘪 𝘬𝘶𝘯𝘢 𝘮𝘱𝘢𝘯𝘨𝘢𝘫 𝘮𝘮𝘰𝘫𝘢 𝘢𝘨𝘦 𝘬𝘢𝘮𝘢𝘢 22 𝘢𝘶 23 𝘩𝘷, 𝘫𝘢𝘱𝘰 𝘸𝘰𝘵𝘦 𝘯𝘪 𝘬𝘢𝘮𝘢...
  9. Yoda

    Nyumba za kupanga za kuchangia choo na bafu ni maisha duni sana.

    Kama unaishi kwenye nyumba ya kupanga ambapo mnachangia choo na bafu na wapangaji wengine basi bado unaishi katika maisha duni sana, bado una safari ndefu ya kuyafikia maisha ya hadhi anayostahili binadamu.
  10. MakinikiA

    Tusifikie kuulizana kadi za vyama kwenye nyumba za kupanga

    Siasa za chuki mbaya sana mwenye nyumba hataki kupangisha mwanachadema tena alipata kulipwa Kwa mwaka anaulizia vitambulisho vya vyama Nazi kwelikweli MTU anaacha kufanya Maendeleo anaweka siasa mbele Watanzania tuitunze amani hii ndogo kama chembe ya haradani amani hii ndogo ndio inafanya wewe...
  11. RIGHT MARKER

    Hebu tiririka kero mojawapo kwenye nyumba za kupanga.

    📖Mhadhara (63)✍️ Nyumba za kupanga (hasa zile ambazo zina wapangaji wengi) zina kero mbalimbali. Hebu tiririka kero mojawapo kwenye nyumba za kupanga - Natiririsha baadhi ya kero. 🔘 KERO 1: Kuna mpangaji ambaye akiingia bafuni kuoga, akitoka lazima bafuni mkute mabaki ya dawa za kienyeji. Kila...
  12. Hammer11

    Mwenye nyumba wangu anafanya maombi yenye kelele kila usiku

    Iko hivi mimi nimepanga nyumba ila huyu mama mwenye nyumba ana kero mimi sio muumini wa dini yeyote ile sasa yeye usiku kucha ni maombi na kelele yaaan hata nikiiingiza demu yeye ni mayoe tu kwa jina la baba sijuiii damu ya Yesu mimi sipendi nifanyaje? Kelele kubwa hata sabufaa sinaa
  13. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Masharti na kanuni nilizo kutana nazo kwenye Nyumba za kupanga.

    Heri kwenu wakuu. Kwanza nianze Kwa kusema wakuu jibane bane ujenge uwe na kwako.hata kama ni chumba na sebule tu.Ni heshima kubwa mno kwako na hata Kwa demu/mke wako. Kipindi hicho Sina ramani za maana nilipata chumba Kwa jamaa mmoja Hivi. Chumba hakikuwa kizuri sana yaani Cha kawaida...
  14. Lady Whistledown

    Ukiwa unaenda kuhamia nyumba mpya nini huwa unachunguza na kuzingatia?

    Wakuu, Tupeane maujuzi hapa ya mambo ya kufanya na kutokufanya Ukiahamia chumba kipya au nyumba mpya uzingatie nini? Sasa msije mkasema "Uingie na boksa kinyume nyume"🤣🤣🤣🤣maana nimewahi kusikia kuna watu nishasikia lazima waweke kwanza vitu vyao kuua chochote kilichoachwa na aliyetoka sehemu...
  15. Am For Real

    Nimeamkaa saa saba usiku kujisaidia haja ndogo nimesikia vishindo kama vya mtu anayezunguka nyumba yetu!

    Sio kawaida hii. Nimeskia vishindo vya kutisha juu ya ardhi nilipokuwa naenda kujisaidia haja ndogo. Kiasi Kwamba nimeogopa hata kutizama dirisha la chooni nisije nikaona mambo ya ajabu. Nimejisaidia haraka sana na baada ya kumaliza nimekimbia Hadi kwenye kitanda changu na kujifunika blanketi...
  16. Fundi manyumba

    Kuishi na majirani yataka moyo

    Wakuu ni mwezi sasa tangu nijiunge na chama cha wapangaji. Sasa naona kasheshe ya kukaa nyumba moja na wanafunzi plas mdada ambaye pesa yake kutoa mpaka bwana wake amzingatie. Watu wanakera sana sana sana. Ishu imekua changamoto hapa ni umeme yaani umeme unaisha kama kuna mpangaji anakunywa...
  17. THE BEEKEEPER

    Nilipopanga kila siku akina mama wanashindana kufua halafu bili ya maji tunalipa sawa

    Habari zenu ndugu zangu, Lengo la kuleta malalamiko yangu ni kuonya wapangaji vilaza. Kuhusu wapangaji wanao shindana kufua sijui mnavaa Nini maana daily kufua afu bill tunalipa wote sawa.
  18. Mkalukungone mwamba

    Vipi huko kwenye nyumba za kupanga hivi ratiba za usafi zinafuatwa?

    Kwenye nyumba nyingi kuna ratiba ya kufanya usafi kama vile usafi wa chooni ,kufagia uwanja n.k sasa vipi wewe uliko panga je utarabu huo upo na unafuatwa kama ulivyopangwa,share nasi hapa
  19. Mjukuu wa kigogo

    Visa na mikasa kwenye nyumba za kupanga

    Yaani hapo upo single halafu wapangaji wengine waliobaki wameoa. Na hivi ndio visa vya wake zao. Je, utahama au utavumilia?
  20. Ghost MVP

    Bei za maji katika Nyumba za kupanga ni mateso

    Bei ya maji kwa Dar es Salaam ni Tsh. 1,663 kwa Unit moja(1) ambayo ni sawa Lita 1000 za maji, yaani Madumu 50 makubwa ya Lita ishirini. Wapangaji wengi wakiamia kwenye Nyumba za kupanga za kushare maji au kulipiwa na mwenye Nyumba unakuta anaambiwa alipie Tsh. 15,000 hadi Tsh. 30,00 kwa mwezi...
Back
Top Bottom