nyumbani kwako

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Strong25

    Weka alluminium nyumbani kwako

    Nawasalimu kwajina lamuungano Unataka alluminium & vioo..? Hapa umepata Njoo nikupendezeshee nyumba yako kwagarama nafuu kabisa NATENGENEZA _madirisha _milango _partition za maoficini _partition za maduka ya dawa _makabati ya chips _kuweka vioo vya saloni N.k Napatikana Dar es Salaam ...
  2. Kinjekitile Jr

    Tundu Lissu Fukuza Uanachama hawa Team Mbowe, usimuige Magufuli Msaliti hasemeki; Hakuna adui mbaya kama wa nyumbani kwako

    Magufuli aliwasamehe vijana aliyowahisi kuwa Wanamuhujumu hawa kina Kina Nape Nnauye, January Makamba na vigogo kama kinana na Makamba Sr, ila kumbe alikuwa anajichimbia shimo mwenyewe Kuna figisu zinapikwa chini kwa chini kutoka CCM na wanawatumia vibaraka wao kutoka CHADEMA ambao wengi wao ni...
  3. dorge

    Tabia ya kwenda kwenye maduka karibu na nyumbani kwako kununua tuvitu kama nyanya, Kitunguu inatia aibu sana

    Nimejikuta napata ubaridi baada ya kurejea maskani kwangu I mean home safari za dukani zimenisikitisha sana. Wadau inawezekana tunatofautiana utaratibu wa kibajeti. Napenda kununua Michele, Mahindi,maharagwe, sukari, mavitunguu nk nk Sometimes nikiwa nyumbani say weekend ndefu, nalala kama...
  4. La gioconda

    Si kila mtu ni wa kumkaribisha nyumbani kwako

    Epuka kukaribisha kila mtu nyumban kwako au kwenye makazi yako wengi wao huwa na roho chafu. Umkaribishapo katika makazi yako bila kuijua roho yake. Vile anavyo maisha yako na jinsi uishivyo hawapendi na hupelekea kuacha roho chafu hizo katika nyumba yako. Unaweza mkaribisha mtu katika nyumba...
  5. Magical power

    Pamoja na ubusy wako au kuwa na dada nyumbani kwako ila usiache kuingia jikoni kuhakiki chakula kabla hakijaja mezani

    DADA ANGU MWEMA pamoja na ubusy wako au kuwa na dada nyumbani kwako ila usiache kuingia jikoni kuhakiki chakula kabla hakijaja mezani. Hakikisha unakihakiki sio kipo mezani mumeo au watoto au wageni wakilalamikie ama kwa kutoiva, vumvi, mafuta au chochote kile kisicho sawa kwenye chakula...
  6. ngara23

    Mwanaume usikose silaha nyumbani kwako au popote unapokuwa

    Sisi watu wa Kanda ya Ziwa, hili somo tunalifundishwa tangu utotoni. Unatembea na simu nne, wallet, kipegi, pafyumu, kondomu — lakini huna hata kisu! Kwa mwanaume, silaha ni lazima. Kujihami na kushinda ni lazima. Sio kidume unatekwa, na watekaji wanatoka wananukia pafyumu. Lazima upasue...
  7. Down To Earth

    Nina mpango wa kuweka Electric shock mlangoni

    Naandika uzi huu nikiwa na huzuni kubwa sana Hii ni mara ya tano naibiwa vitu ndani nikiwa safarini wahuni wanavunja kufuli la Grill, wanavunja kitasa cha mlango kisha wanaingia wanaiba vitu sasa nataka niweke mfumo wa Shoti ya umeme kwenye Kitasa Cha mlango wa Nyuma, atakaekuja kujichanganya...
  8. a sinner saved by Christ

    Wajali wa nyumbani kwako

    Familia yako ukiijali na kuipa kipaumbele ni baraka ,na jambo jema.Kuna baadhi ya wazazi hutelekeza familia zao na kutozipatia matunzo na malezi. Wengine hubagua watoto na kuwatelekeza watoto waliowapata nje ya ndoa. Wengine wenye uwezo huwatelekeza wazazi wao kijijini kwao na hukataa...
  9. BwanaSamaki012

    Je, Unajua Umuhimu wa Recreational Pond Nyumbani Kwako?

    Habari! Nina wasalimu kwa unyenyekevu mkubwa Recreational pond ni aina mpya ya bwawa yanayofanana na mabwawa ya asili ambayo yanaweza kutumika kwa madhumuni mbalimbali, kama vile kuogelea, kufugia samaki wa mapambo n.k. Tofauti na mabwawa ya kawaida, aina hii ya mabwawa yanaundwa kwa maumbo na...
  10. Matulanya Mputa

    Unapangaje maandamano alafu unalala nyumbani kwako? Au ni uoga?

    Viongozi wa CHADEMA waliitisha maandamano wakati walijua hawana uwezo wa kufanya maandamano siku zote kuongea ni rahisi sana kuliko kutekeleza. Moja ya mbinu ya maandamano ni kuwa mafichoni ,huwezi kutangaza kuandamana alafu ukalala kwako. Hivyo basi Lissu alijua hawezi kuandamana na...
  11. 90sgeneration

    UNATAMANI UWEKE SOFASET KALI NYUMBANI KWAKO? ONA HII

    Ni mpya kabisa , ina 2 month tu ni fiber & spring 1..5M ukiitaka nicontact: 0697224996
  12. S

    Kama siyo mlemavu sikushauri utumie choo cha kukaa nyumbani kwako

    Mimi kama Fundi ujenzi na umeme pokea ushauri wangu. Watu wengi sana wanaamini choo cha kukaa ni bora zaidi. Ukweli ni kwamba choo cha kukaa kilibuniwa kwa mara ya kwanza ili kukidhi mahitaji ya walemavu na wazee wasioweza kuchuchumaa. Maumbile ya mwanadamu hususani mwafrika yanafunguka vizuri...
  13. Mr George Francis

    Dada uzuri wako usiulete nyumbani kwako, utaachika

    Dada Yangu, Ni kweli wewe ni mzuri sana wa sura, tumekubali. Ni kweli mwonekano wako na shepu lako linaweza kumvutia kila mwanaume rijali, hili pia tumekubali. Ni kweli umesoma sana, elimu nzuri na sasa kimtindo kama umejipata hivi!! Aisee!! tumekubali. Ni kweli umetoka kwenye familia bora...
  14. GENTAMYCINE

    Msaada wenu wa Kitaalam (Kisayansi) na ule wa Kiutamaduni (Kienyeji) wa namna ya kuondoa nyuki

    Msaada unawezaje Kuondoa Nyuki kwa njia ya Kitaalam au ya Kienyeji walioko Nyumbani Kwako na wasio na Madhara? Nitaushukuru.
  15. DR HAYA LAND

    Ukipata pesa hakikisha unatulia nyumbani kwako

    Unapopata pesa nawazungumzia vijana wa Leo hakikisha unakaa nyumbani , hakikisha pesa inageuka Akiba ya kudumu usikubali kutumia pesa yako kununua Magonjwa ili baadae uishi kwa mateso. Wewe ndio Mwalimu wa Maisha yako wewe ndo daktari wa Maisha yako yaani wewe ndo kila kitu. Hizi hadithi za...
  16. v0il0r

    Changamoto gani unayo ya umeme nyumbani kwako

    Kama unachangamoto / shida ya umeme au vifaa vya umeme nyumbani kwako unaweza pata msaada hapa au tufanye kazi na fundi umeme hapa <<dar , ubungo>> Kama unaswali uliza au maoni changia
  17. Mr DIY

    Kwa wanaume. Hakikisha hukosi hivi nyumbani kwako

    Kwa wanaume wenzangu habari za muda huu, naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika kama nilivyoitambulisha hapo juu. Ikiwa una familia au unaishi bachelor tafadhali zingatia hili linakihusu. Nyumbani kwako hakikisha mwanaume hukosi essential tools kadhaa kwa ajili ya kupunguza changamoto...
  18. Poker

    Ifahamu ishara ya tandu, jongoo, sisimizi na popo nyumbani kwako!

    Usiku Kipindi cha mawingu ambako nyota na mbalamwezi hazionekani ni hatari sana kwa usalama wa maisha. Na pia sa nyingine huwa ni bahati sana katika maisha yako. Umeshawahi kujiuliza ni kwanini unaota ndoto usiku unakImbizwa lakini huna mbio? Pia ushawahi jiuliza kwanini unaota unakula chakula...
  19. Robert Heriel Mtibeli

    Je, wajua miti ni sumaku inayovuta nguvu za kiroho? Panda miti nyumbani kwako

    Anaandika, Robert Heriel Kuhani katika Hekalu Jeusi. Andiko hili lamfaa kila mtu. Lugha iliyotumika ni laini. Sio Kali kama nilivyozoea Kwa mada zangu nyingi. Kisayansi Miti ni moja ya viumbe hai muhimu katika Ecosystem (kutegemeana Kwa viumbe hai n mfu ili kufanya Maisha yaendelee katika...
  20. Poker

    Namna ya kutengeneza Cheese 🧀 ukiwa nyumbani kwako

    Mahitaji: Maziwa fresh 1lt, limao na sukari kidogo tu. Anza kwa kuchemsha maziwa katika moto mdogo yapate moto ila yasichemke kabisa. Kisha chukua limao kamulia ndani ya maziwa hakikisha yamekua mgando. Halafu kusanya ule ugando ugando ambao ndio cheese 🧀 yenyewe uchuje vizuri kabisa kisha...
Back
Top Bottom