Hii Habari ililipotiwa na gazeti la mwananchi mwaka 2017, haari ilikuwa na kichwa cha habari "Kigwangalla auwasha moto Loliondo"
SUNDAY OCTOBER 29 2017
Akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Ololosokwani, Dk Kigwangalla alisema mgogoro wa Loliondo uliodumu kwa zaidi ya miaka 26 sasa utapatiwa...