Kuanza nianze kwa kuwashukuru wana Jamii Forums mlio nitafuta PM kwa kunipa pole katika msiba ule mzito. Nawashukuru pia wale mlio kuja PM kunikebehi yakuwa nilikuwa nawasinzigizia nilio wataja kwa kuwahusisha na Mauaji ya mtoto wangu.
Ilianzia hapa: Mh. Rais, Mkuu wa Wilaya na OCD Lindi...
Mh Rais, mimi ni raia wa Tanzania na ni mwananchi wako mwema.
Naomba kwa masikitiko makubwa tena makubwa nikujulishe tu ya kuwa:
Juzi nilipigiwa simu na Mkuu wa Wilaya ya Lindi akinijulisha kuhusu KIFO cha mwanafunzi ANGEL HONEST KESSY.
Kwanza nilishangaaa kuona Mkuu wa Wilaya akinipa taarifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.