ocd lindi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kwanini nawahusisha Mkuu wa Wilaya na OCD Lindi kwenye kifo cha mtoto wangu...

    Kuanza nianze kwa kuwashukuru wana Jamii Forums mlio nitafuta PM kwa kunipa pole katika msiba ule mzito. Nawashukuru pia wale mlio kuja PM kunikebehi yakuwa nilikuwa nawasinzigizia nilio wataja kwa kuwahusisha na Mauaji ya mtoto wangu. Ilianzia hapa: Mh. Rais, Mkuu wa Wilaya na OCD Lindi...
  2. DOKEZO Rais, Mkuu wa Wilaya na OCD Lindi 'wamemuua' ANGEL KESSY Mwanafunzi wa PCB

    Mh Rais, mimi ni raia wa Tanzania na ni mwananchi wako mwema. Naomba kwa masikitiko makubwa tena makubwa nikujulishe tu ya kuwa: Juzi nilipigiwa simu na Mkuu wa Wilaya ya Lindi akinijulisha kuhusu KIFO cha mwanafunzi ANGEL HONEST KESSY. Kwanza nilishangaaa kuona Mkuu wa Wilaya akinipa taarifa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…