odm

The Wiper Democratic Movement–Kenya (WDM-K), formerly Orange Democratic Movement–Kenya (ODM–Kenya), is a political party in Kenya, which originated as a result of the 2005 Kenyan constitutional referendum. The party tends to be more popular among the Kamba people. It is headed by Kalonzo Musyoka, who ran for president in 2007 and served as the vice-president in the Grand Coalition of Mwai Kibaki and Raila Odinga. He is now a member of the main opposition Azimio La Umoja One Kenya Party.

View More On Wikipedia.org
  1. BLACK MOVEMENT

    Mbona Kenya wanachama wa ODM hawajawahi taka Raila Odinga aachie madaraka ODM pamoja na kuunga mkono Serikali ya Uhuru Kenyata na sasa Ruto pia

    Raial Odinga amkeuwa kiongozi wa chama chake miaka na miaka na hadi juzi kamkabidhi Gava wa Kisumu ili aongoze ODM kwa sababu yeye anagomvania cgeo kule AU, kumbuka cheo cha Raial hakigombaniwi hakipigiwi kura. Sasa sipati picha ingekuwa ndio Tanzania. Sasa basi Raial mbali ya kuwa kwenye...
  2. M

    Kinara wa ODM, Raila Odinga Amezindua uongozi mpya wa chama hicho

    Raila Odinga ametoka kwenye uongozi wa chama cha ODM naona ni maandalizi ya kwenda AU hapo February 2025. Je ikitokea amekosa uenyikiti wa AU atarudi kwenye nafasi yake ya Kiongozi wa ODM au atabaki kama mshauri na mzee wa chama ? Salamu kwenu watu wa Sayansi ya Siasa.
  3. J

    ODM yaondolewa kwenye Umoja wa Azimio, Raila Odinga atimuliwa Kilonzo Musyoka Mwenyekiti Mpya!

    Baada ya Viongozi wanne wa ODM kuingia kwenye cabinet ya Kenya Kwanza maana yake ODM siyo Chama cha Upinzani tena hivyo kimeondolewa kwenye Umoja wa Azimio Source: Citizen TV Mlale Unono 😀
Back
Top Bottom