ofisi ya serikali ya mtaa ni ya raia wote

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    LGE2024 Zitto Kabwe: Ofisi ya mtaa ni ya Raia wote

    Zitto Kabwe amesema kuwa ofisi ya mtaa ni ya raia wote, baada ya kukuta CCM wamejenga Jiwe la Umoja wa Vijana CCM mbele ya ofisi ya serikali ya mtaa ya Bujimile, kata ya Nyamhongolo huko Ilemela. Zitto amewaagiza viongozi wa ACT wazalendo katika kata hiyo kujenga na wao ngome yao kando ya...
Back
Top Bottom