ofisi za ccm

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Stephano Mgendanyi

    Pre GE2025 Mbunge Atupele Mwakibete Achangia TZS Milioni 10 Ujenzi wa Ofisi za CCM Busokelo

    Mbunge wa Jimbo la Busokelo, Mhe. Atupele Mwakibete, amechangia mchango wa shilingi Milioni 10 kw ajili ya ujenzi wa Ofisi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika jimbo la Busokelo. "Hii ni kutokana na changamoto ambazo wanachama wanakutana nazo wanapohitaji huduma za Chama, ambapo walikuwa...
  2. J

    Pre GE2025 Makalla: Wafanyabiashara wa Kariakoo walioandamana hadi CCM badala ya Ofisi ya Mkuu wa mkoa walikuwa Sahihi, Wote wapewe Vizimba!

    Mwenezi wa CCM komredi Makalla amesema kitendo cha Wafanyabiashara kuandamana hadi Ofisi za CCM kilikuwa ni Sahihi kwani CCM ndio yenye dhamana ya kuwaletea Maendeleo Wananchi Makalla amesema Wafanyabiashara waliokuwepo Kariakoo kabla Soko halijaungua wote watarudi sokoni kama walivyoahidiwa na...
  3. Erythrocyte

    Waliokatwa vizimba soko la Kariakoo waandamana kwenda ofisi za CCM Lumumba!

    Hii ndio Taarifa ya sasa kutoka Dar es Salaam. Kwamba Wale waliokuwa wafanyabiashara wa soko hilo kabla halijaungua na ambao majina yao hayapo kwenye mkeka mpya, wameandamana kuelekea CCM Lumumba! Pia soma: Mgomo wa Wafanyabiashara: Biashara zafungwa Kariakoo leo Juni 24, 2024 Sasa sijajua...
Back
Top Bottom