ofisi za chadema

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. chiembe

    Baada ya kufuatilia kwanini Twaha Mwaipaya ameng'ang'ania ofisi za CHADEMA baada ya uongozi wake kuisha, kumbe biashara yake ni kufuga njiwa

    Nimeshangaa sana, wengi walioachia uongozi chadema, wameondoka na kuendela na shughuli zao za kimaisha. Mwaipaya yeye ni kiguu na njia ofisi za chadema, na kwenye mikutano ya chadema. Njaa haina rafiki, bado anafukuzia posho za chama. Kumbe huyu jamaa kazi yake nje ya siasa ni kufuga njiwa...
  2. The Palm Beach

    Rose Mayemba: Nimefukuzwa Makao Makuu kama mbwa na walinzi wa Mbowe. Aeleza Rushwa ya Freeman Mbowe ilivyokwamisha Uchaguzi Mkoa wa Njombe usifanyike

    https://youtu.be/pfMrZF7ISCc?si=WHSR_MisNg9yIa0e Sikuwahi kufikiri wala kumuona huyu dada kuwa kumbe ni jembe kiasi hiki... Cha ajabu eti Freeman Mbowe anamfanyia figisu figisu asiwe mwenyekiti wa chama mkoa wa Njombe - CHADEMA.. Honestly, simulizi yake hii kumhusu Freeman Mbowe inachukiza na...
  3. Waufukweni

    Pre GE2025 Wagombea Mbowe anayetetea nafasi yake, Lissu na Odero kufanyiwa usaili leo ofisi za Chadema

    Wagombea wa nafasi za juu za uongozi wa Chadema, wanafanyiwa usaili leo Jumapili, Januari 19, 2025, ikiwa ni maandalizi ya kinyang'anyiro cha uchaguzi unaotarajiwa kufanyika keshokutwa Jumanne Januari 21, 2025. Usaili wa wagombea hao, unafanyika yalipo Makao Makuu ya Chadema, Mikocheni jijini...
  4. R

    CHADEMA, kuanzia leo wekeni mkakati wa kuwa na ofisi ya chama kila kata ifikapo 2030

    Hi ni muhimu kuweza kuwafikia watu wengi hasa vijijini. Nasema hivyo kwa sababu Kata yangu hapakuwepo na mgombea wa CHADEMA na it seems watu hawana mwamko na CHADEMA kwasababu hakuna mhamasishaji. Erythrocyte
Back
Top Bottom