ofisi za tigo dar

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. comrade_kipepe

    Makao Makuu ya Tigo yapo wapi kwa hapa Dar?

    Nataka niende hukohuko labda tutaelewana vizuri, tokea jumatatu nilituma milioni 3 na laki 2 kwenda account ya bank mpaka Leo haijafika, niliwapigia jumanne wakaniambia kuna shida ya mtandao muamala upo hewani nisubiri ndani ya masaa72 hela itarudi kwenye tigopesa na kama isiporudi itaenda...
Back
Top Bottom