The Organisation of Islamic Cooperation (OIC; Arabic: منظمة التعاون الإسلامي, romanized: Munaẓẓamat at-Taʿāwun al-ʾIslāmī; French: Organisation de la coopération islamique), formerly the Organisation of the Islamic Conference, is an intergovernmental organization founded in 1969. It consists of 57 member states, 48 of which are Muslim-majority. The organisation claims to be "the collective voice of the Muslim world" and works to "safeguard and protect the interests of the Muslim world in the spirit of promoting international peace and harmony".
OIC has permanent delegations to the United Nations and the European Union. Its official languages are Arabic, English, and French. It operates affiliated, specialized, and subsidiary organs within the framework of OIC Charter.
Member states had a collective population of over 1.8 billion as of 2015, accounting for just under a quarter of the world's population. The collective area is 31.66 m km2.
Kuna msukumo mkubwa wa Wazanzibari ukichagizwa na uislam kwa Rais Samia na Rais Mwinyi kutaka Serikali ya Zanzibar kujiunga na OIC ili vijana wa Zanzibar wapate ajira na ujenzi wa bandari kubwa kisiwani Unguja.
Hilo ni jambo jema kwa maendeleo kama yatapatikana kweli. Changamoto iliyopo ni...
Katibu wa Itikadi na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) taifa Amos Makalla ameeleza hayo wakati akizungumza na viongozi mbalimbali wa CCM Wilaya ya Kinondoni amesema
Namnukuu
"Lakini mimi ninataka niseme upandacho ndicho uvunacho, Mzee Hashim Issa hajatamka kimakosa, ametamka yale maneno, ni...
Wanabodi,
Japo fani ya sheria ni fani moja simple sana, ndani ya sheria kuna sheria fulani fulani ni ngumu sana kwa mawakili.
Miongoni mwa sheria ngumu ni Criminal Law, Land Law, Law of evidence, Constitutional law na Public International Law.
Kwa upande wa sheria ya katiba, constitutional...
Nimeona clip ya mzanzibari aliyechoka kimawazo akitaka Zanzibar sasa iwe nchi ya kiilamu rasmi na iingie OIC, Nchi za umoja wa Kiislamu.
Jamaa huyu anasema Rais Samia muislamu, Rais Mwinyi mwislamu, waziri mkuu Mwislamu , waziri mambo ya ndani mzanzibari mwislamu, waziri wa mambo ya nje...
Hizi jumuiya huenda zimeshakufa.Kama zingekua hai kusingekuwa na uwezekano wa watu wa Gaza kuuliwa kinyama bila ya wao kuingilia kati au angalau kutoa matamko makali ya kulaani kinachotokea.
Na kama jumuiya hizo zingekuwa ziko hai basi kilio cha Hamas na wapalestina basi kingesikika.
Vile vile...
Zanzibar kujiunga na OIC kivyake
2009-01-27 10:14:33
Na Mwinyi Sadallah, Zanzibar
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imetangaza kwamba itaiomba Serikali ya Muungano kuiruhusu Zanzibar kujiunga na Umoja wa Nchi za Kiisalm(OIC) endapo mpango huo utashindwa kufikiwa na Serikali ya Muungano...