oil chafu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    Nataka kujua biashara ya oil chafu

    Sasa ivi oil chafu imekuwa bidhaa adimu sana hasa huko kwenye garage za Magari, pikipiki, n.k Nataka kufahamu wanaozinunua wanazipeleka wapi?
  2. Mshana Jr

    PDF la oil chafu hili hapa

    Kutokana na ongezeko kubwa la viwanda Tanganyika, mahitaji ya malighafi nayo yameongezeka kwa kiasi kikubwa sana. Kuna baadhi ya malighafi ambazo zamani hazikuwa na thamani yoyote. Ni aidha ziligawiwa bure, zilitupwa, au ziliuzwa kwa bei rahisi. Leo twende na hii malighafi ya oil iliyotumika...
  3. zhang laoshi

    Oil chafu zinazokusanywa mitaani zinaenda wapi? Why uhitaji ni mkubwa hivi?

    Habari wadau! Naomba kufahamishwa Kwa anayelijua hili, oil chafu na makopo ya oil yanayokusanywa na watu toka gereji za magari na pikpik zinaenda kutumia kwenye nini? Nilipewa fununu kuwa kuna jinsi zinapikwa na kurudishwa tena dukani... Pia wanawasihi mafundi wakiwa wanafungua wafungue vizuri...
  4. Heisenberg

    Je, ni Biashara gani inaendelea hapa?

    Kwa wale ambao huwa mnapita maeneo ya magereji kama vile Tandale, Mwananyamala, Ilala na Kko bila shaka umeshawahi kuwaona watu wakipita na baiskeli au mikokoteni wakikusanya Madumu/ Chupa za oil za magari na pia wakikusanya oil chafu na kuondoka nayo. Baada ya utafiti kidogo inasemekana oil...
  5. J

    Majiko ya kisasa yanayotumia oil chafu

    MREI Company Limited ni watengenezaji na wauzaji wa nishati safi ya kupikia inayotumia Oil chafu, lakini pia wanahitaji support kutoka kwa wadau na serikali ili kuweze kuiendeleza technologia hii ili iweze kua na matokeo chanya katika uchumi wa Taifa, utunzaji wa mazingira, uondoaji wa...
  6. Technophilic Pool

    Nataka niwe Shameless! Yaani niwe oil chafu

    Kuna staff mwenzetu nilikua nafanya nae kazi yaani yeye ni shameless. Si kwa ubaya lakini najaribu kuonesha tabia yake. Kuna watu ambao ni shameless huwezi msema kwa lolote akadharirika au akaaibika. Hawa wamejitengenezea immunity haogopi, hajali watu wanasema nini, hajali wanafikiri nini ili...
  7. K

    Natafuta soko la oil chafu

    Natafuta sehemu wanaponunua oil chafu bei iwe inayoridhisha... Natanguliza shukrani.
  8. Justine Marack

    Magufuli 'oil chafu' ukiigusa unachafuka mwenyewe

    Nimefuatilia Mahojiano ya Lissu, kuna Ile kipande ambapo anaongea vibaya kuhusu Magufuli, sasa nimesoma Comment zaidi ya 2000 katika Comment zote nimeshuhudia ghadhabu ya wananchi juu ya Lissu. Lissu aliamini kuwa kwa kusema alishambuliwa kwa risasi basi atatia huruma na kuonekana alionewa...
  9. mandevuclassic

    Ni vyema kupaka oil chafu kwenye kenchi baada ya kupiga bati?

    Ni vyema kupaka oil chafu kwenye kenchi baada ya kupiga bati..!?
Back
Top Bottom